Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Mods Wamefuta..walijua uzi ungechafukaHakuna haja ya kumuomba msamaha bwana Mlolongo kwani Ni Kweli huyu bwana ameonesha low iq Sana kuhusisha mjadala wangu na maswal ya waislamu kidominate Jambo fln
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizo hela hazitoki kwa mkupuo, hulipwa kwa mwezi au miezi au mwakaNi sahihi mkubwa ila inashangaza san kampuni inatoa bilion 250 Kweli kuzamini mpira bado wafanyakaz wake wakose furaha hatari sna hili
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tulifunge hili..Ila mkuu tukubaliane tu kuwa diva hajanunuliwa kwa dau Hilo yule bint alikah bila Kaz sna ndipo akaja kuchutama kwa mondi kumbuka alikuwa hazihifi nae kbsa kipindi akiwa cmg .kwahhyo yey Kama yey hajanunuliwa Bali alitafuta mchongo Kisha akapata
Jpo kwa kina maulid nakubaliana na wee kuwa yey anataufutwa tu kupandisha radio ila siyo ingawa pia Hana maajabu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mpiga era- mpiga hela[emoji28]Alfu- Halafu
Kunawiri- kunawili
Maslai-maslahi
kia's- kiasi
Afsa- Afisa
hbr- habari
Verse ya mwisho imenifanya nicheke kama fisi majiNimekuwa nikishangazwa sana na jambo hili kwamb kampuni kubwa nchini kwa maswala ya media ndio kwanza wafanyakazi wake mahiri wanatimka kila kukicha kwenda kufanya Kaz kwenye taasis zingine Tena wababaishaji wengine.
Mfano mzuri ni huyu afisa habari wa Simba sports club Ahmed Ally alikuwa mtangazaji mzuri Sana leo hii katimkia Simba sc kuwa afisa wa habari Kuja kupigana kelele na kina manara na bumbuli.
Ally kamwe nae nimesikia kuwa ndio amekuwa afsa wa habari wa yanga Sports Club .unaacha Kazi nzuri kampuni kubwa nchini halafu unaenda kupiga kelel na kina manara mbona siyo sawa hili.
Kuna yule wa Wasafi FM Ahmedi Abdlah nae alikuwa Azam Sports lkn sas yupo wasafi Tena kanawiri mno [emoji23] je ndio tusema hiz kampuni kubwa hamna kitu ni jina tu maslahi kiduchuu huku wanatengeneza faida kubwa supper nomal profit.
Nakuomba bwana le popoma mwandamizi GENTAMYCIME kwa ufafanuz zaidi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata hvyo Ni Kia's kikubwa mno kuwai kuwekwa na yeyeote yule naogopa wanaweza Kuja kufunja mkatabaHizo hela hazitoki kwa mkupuo, hulipwa kwa mwezi au miezi au mwaka
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sasa ndio ujue kaz ni mapito Tu.Sas huko s kimataifa mkuu cnn na aljazira iko waz Ni sehemu nyeti mno
Namkumbuka mtangazaji mmoja anaitwa vyone ndege siju Bado Yuko aljazira
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kam kina Nani mkuu hao vijanaTena kama siku hizi watangazaji wa media kubwa zenye vipindi vya michezo wanapiga deiwaka kwenye tv ya mtandaoni inaitwa valor tv. Sasa hata mikataba yao sijui ni ya namna gani!
Babu unaandikaje au simu Ni mbovu mkuuSasambona hamedially kakimbiliaanakolipwa lakisabakamamwalimuwa shuleyamsingi
Hata wakilipa million 2 na alikoenda analipwa million 2 na marupurupu kibao kipi bora? Pia wengine hawana visimbusi vya Azam hivyo hao watangazaji hawatajulikana kivile ila wakiwa kwenye vilabu watajulikana chapInamaana Azam wanalipa mshara chini ya milioni 2 mfno kwa Ally kamwe
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli wee Ni mtot haswa haya mtot mzuri kaoge ulaleHata wakilipa million 2 na alikoenda analipwa million 2 na marupurupu kibao kipi bora? Pia wengine hawana visimbusi vya Azam hivyo hao watangazaji hawatajulikana kivile ila wakiwa kwenye vilabu watajulikana chap
Million mbili unaijua vizuri kwenye scale za mishahara mkuu?Inamaana Azam wanalipa mshara chini ya milioni 2 mfno kwa Ally kamwe
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kidume hasifiwi uzuriKweli wee Ni mtot haswa haya mtot mzuri kaoge ulale
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Km chai acha usiinywe..
Na Kama kwako mil 50 Ni nyingi,Nikukumbushe tu; sekta ya burudani ndy sekta inayolipa na inayoingiza pesa mingi zaidi kwa Sasa hapa bongo..
Nikukumbushe pia;mwaka ambao msanii Darassa CMG anatoa nyimbo "maisha na muziki" ndy mwaka ambao alilipwa he'll nyingi Sana kwenye kila show ya fiesta na clouds media na ndy msanii aliyepiga show mikoa yote Hadi fiesta inaisha..so unaweza kuvuta picha aliingiza pesa kiasi gani kwa ajili ya show moja tu fiesta ule mwaka
Point yangu Ni kwamba kwa media Kama clouds na wasafi hiyo mil 50 si kitu maana wao wanafanya usajiri wa watangazaji pia kuvutia brands zao zishishuke..Au umesahau kitenge anavyopandiwa dau na media mbalimbali kwenda kuzibrand na Kisha anasepa?
Wengine wanasema penda kazi au fani yako usipende kampuni maana muda wowote inaweza kukumwagaElon musk aliwahi sema "attach yourself to a mission not a person or organization"