NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Azam media wameomba Radhi mashabiki, uongozi wa Yanga Sc na wadau kwa ujumla.
---
Azam Media Limited imepokea mrejesho kuhusu mahojiano yetu na Fiston Mayele, aliyewahi kuwa mchezaji wa Young Africans Sports Club.
Tumejiridhisha kuwa Young Africans Sports Club haikupewa nafasi ya kujibu hoja. Kutokana na hilo, tunaomba radhi kwa viongozi, wachezaji na mashabiki wa Young Africans Sports Club.
Tayari hatua zimechukuliwa kuhakikisha kuwa maudhui yetu yanaendelea kuzingatia viwango vinavyotarajiwa.
Uongozi
Pia Soma:
- Azam TV jitokezeeni hadharani Muwaombe radhi viongozi wa Yanga Sc, mashabiki na wadau wa mpira kwa interview ya Fiston Mayele mliyoiyoifuta
---
Azam Media Limited imepokea mrejesho kuhusu mahojiano yetu na Fiston Mayele, aliyewahi kuwa mchezaji wa Young Africans Sports Club.
Tumejiridhisha kuwa Young Africans Sports Club haikupewa nafasi ya kujibu hoja. Kutokana na hilo, tunaomba radhi kwa viongozi, wachezaji na mashabiki wa Young Africans Sports Club.
Tayari hatua zimechukuliwa kuhakikisha kuwa maudhui yetu yanaendelea kuzingatia viwango vinavyotarajiwa.
Uongozi
Pia Soma:
- Azam TV jitokezeeni hadharani Muwaombe radhi viongozi wa Yanga Sc, mashabiki na wadau wa mpira kwa interview ya Fiston Mayele mliyoiyoifuta