NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #41
WAJIBIE WEWE MUHASIBU ZEE LA TAKWIMU [emoji16]Kwanini baada ya hapo Uto wasingekuja kujibu. Kulikuwa na ulazima gani kufuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAJIBIE WEWE MUHASIBU ZEE LA TAKWIMU [emoji16]Kwanini baada ya hapo Uto wasingekuja kujibu. Kulikuwa na ulazima gani kufuta?
RAGE HAKUKOSEA KUWAITA MBUMBUMBU HWA JAMAAAMbu Mbu mbu kwenye ubora wenu .......
Unaelewa ethics za media....haitakiwi kutoa habari ambazo Zina kandamoza one side ....
JAMBO DOGO SANA HILO MZEEVp taarifa ya Yanga kufungiwa tayari umeshaiandika.?
MAYELE NI SAWA NA DEBE TUPU MKUU.Sasa hiyo radhi mnayoiomba itasaidia nini na wakati tayari walishajionesha wao ni vilaza!!
Mnaruhusu mtu aongee utumbo, halafu mnaurusha huo utumbo kama ulivyo!! Kama siyo kukosa weredi kwenye tasnia ya habari ni nini huku!!
Halafu nilikuwa namuona Fiston Mayele kama mchezaji professional! Kumbe ni kopo tu.
na wewe kolouizdad utulie sasa...shughulika na timu yako la sivyo utamaliza ligi wa 4 hukoNyie utopolo tulieni sasa🙂
Yaani yanga taasisi kubwa ije imjibu Mayele tuhuma za kumroga na upumbavu eti majiniKwanini baada ya hapo Uto wasingekuja kujibu. Kulikuwa na ulazima gani kufuta?
Maajabu haya,Young Africans haikupewa nafasi ya nini?
Nyie wahuni tuuJAMBO DOGO SANA HILO MZEE
Yani Yanga ndio watafute nafasi ya kujitetea?Yanga walitafuta hiyo nafasi ya kujitetea?
NAKAZIAYaani yanga taasisi kubwa ije imjibu Mayele tuhuma za kumroga na upumbavu eti majini
Kama mayele ni professional aende CAS alalamike kama wenzake akina Bigrimana
Walishtak wakashinda haki yao na wakapewa hatujawahi kusikia wakiichafua yanga licha ya kuwa na madai ya msingi
hii nchi bwana, usikute hii ni ndoto ya mtu yupo usingizini saa hiziMaajabu haya,
Huwezi kagombana kama huna nguvuMmeongeza jukumu la kugombana na watu...hilo nalo kombe mkalitizame...