SawaHata wewe ndo ungekua in charge pale Azam.... Ungefanya kile walichofanya Azam, by fire by force....!
Yanga ni zaidi ya Sport Club.
Acha makasiriko utoMbu Mbu mbu kwenye ubora wenu .......
Unaelewa ethics za media....haitakiwi kutoa habari ambazo Zina kandamoza one side ....
Umewahi kwenda mahakamani? Na ukasikiliza kesi mpaka mwishoKufanya jambo bil kupelekeshwa uhiari
Changia mada acha bla blaUmewahi kwenda mahakamani? Na ukasikiliza kesi mpaka mwisho
😆😆😆Utopolo kama mwigulu tu
Ukiwa mbumbumbu huwezi kuelewaChangia mada acha bla bla
Nadhani kwa watu wasio na taaluma ya habari kama wewe wanaweza kuja na hoja ya namna hii, lakini kiukweli kwa hatua hii Azam wako sahihi.View attachment 2961737
Ni swali analoweza kujiuliza kina anayependa Uhuru wa Vyombo vya habari! Ni hivi juzi Azam media ulifanya mahojiano na mchezaji wa Zaman wa yanga. Hata hivyo Azam media walishurutishwa kufuta maudhui hayo na kulzimishwa kuomba msamaha. Chonde chose Vyombo vya habari msipangiwe majukumu mnalo jukumu kubwa la kuibua uozo katika jamii na sio kuchaguliwa maudhui
Yanga walitafuta hiyo nafasi ya kujitetea?Nadhani kwa watu wasio na taaluma ya habari kama wewe wanaweza kuja na hoja ya namna hii, lakini kiukweli kwa hatua hii Azam wako sahihi.
Mahojiano ya Mayele yalirushwa bila kukidhi mahitaji ya kitaaluma, kwa kuwa baadhi ya mambo yaliyosemwa na Mayele yalikuwa ni tuhuma.
Kwa mujibu wa taaluma ya habari, kila tuhuma ni lazima anayetuhumiwa apewe nafasi ya kujitetea/ kujieleza juu ya tuhuma zake.
Usipofanya hivyo, habari husika huwa ni kashfa kwa aliyetuhumiwa na hivyo ana nafasi kubwa ya kushinda kesi ya kudai fidia mahakamani.
Hivyo, Yanga walionewa na Azam Media kwa makosa ya uhariri wa habari ile, na njia pekee ya kujiokoa ilikuwa ni kuomba radhi.
Ova
😄😄Azam waanche mchezo na rangi za kijani na njano.
Kwani kuna chombo kipi cha habari kilocho huru kweli kweli?View attachment 2961737
Ni swali analoweza kujiuliza kina anayependa Uhuru wa Vyombo vya habari! Ni hivi juzi Azam media ulifanya mahojiano na mchezaji wa Zaman wa yanga. Hata hivyo Azam media walishurutishwa kufuta maudhui hayo na kulzimishwa kuomba msamaha. Chonde chose Vyombo vya habari msipangiwe majukumu mnalo jukumu kubwa la kuibua uozo katika jamii na sio kuchaguliwa maudhui
Kazi yetu ni kuwabutua na kubeba makombeKazi mnayo utopolo..
Kwa mujibu wa taaluma, media yenye hiyo habari ndiyo inatakiwa kumpa/ kumtafuta Yanga ili kumpa hiyo nafasi ya kujitetea ili ikamilishe habari yake.Yanga walitafuta hiyo nafasi ya kujitetea?
Majibu ya Yanga yalitakiwa kuwa ndani ya ile habari, maana ndiyo yanakamalisha yale mahojiano kuwa habari, na siyo kashfa dhidi ya Yanga.Kwanini baada ya hapo Uto wasingekuja kujibu. Kulikuwa na ulazima gani kufuta?
Mmeongeza jukumu la kugombana na watu...hilo nalo kombe mkalitizame...Kazi yetu ni kuwabutua na kubeba makombe