Azam mkimalizana na matamthilia yenu ya Ottoman mtuwekee na za historia ya Roman, Byzantine, Macedonia ya Alexander, tofauti na hapo mna jambo lenu

Azam mkimalizana na matamthilia yenu ya Ottoman mtuwekee na za historia ya Roman, Byzantine, Macedonia ya Alexander, tofauti na hapo mna jambo lenu

Kwahio mdau amefanya market research ya wateja wake wanataka nini na anachowalisha kulingana na biashara yake wewe unampangia cha kufanya ? Unajua na hizo program anunua na kuonyesha na sio tu kama wewe unavyoweza kuzidownload Youtube ?!!

Ushauri wewe kama mteja waombe wafanye hivyo na watafanya kama wataona ina faida kwao na sio kuwashurutisha..., na ukiona hupati unachotaka unaweza ku cancel subscription.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Sijui ni nini mnachotaka ku-demostrate kwa miaka hii yote ya kuwalisha watu masizoni ya ottoman.

Ina maana burudani na historia inayopaswa kuonwa na watanzania ni ya jinsi gani sijui waserjouk walivyovamia kila kona na kuwabadirisha traditions zao.

Najua mtaanza na stori za kutengeneza kuwa watu ndio wanazitaka, please stop, mna maana yenu maalum kwa nini mnazionesha na hata sisi tushawashtukia.

Ebu mizani i - balance, kuna tamthilia nyingi za historia za empire nyingi haiwezekani eti ya ottoman ndio iwe jadi.

too much double standard
Azam ni wabaguzi kwa misingi ya kidini. Hata ajira zao wanazitoa kwa musingi ya udini. Udini umewajaa kila kona.
 
Sisi si ndo wateja!? Sasa tunazitaka na zile tunazizitamani, wasitupangie cha kutuonesha
Huwa unawapangia na TBC,Star Tv,BBC na CNN cha kuonyesha?Au wewe ni mteja unayetaka ku dictate kinachoonyeshwa Azam TV.
Shirikisha akili unapotoa hoja ili kuficha ujinga wako.
 
Aisee mwenyekiti mbona atakuwa busy Sana?. Hili suala lipo kwenye Katiba ya Chama?🤣🤣🤣🤣
Hahahaha Halipo lakini pia haluvunji Katiba ya Chama!

Nimemtumia ujumbe kuhusu hili swala amesema atashungulika nalooo

😂
 
Nchi ngumu sana kama hizo tamthilia huzitaka si kuna channel nyingine angalia vitu vingine
 
Chanel zipo zaid ya 400 hiyo azam two achana nayo labda kama umelipia uangalie azam two tu[emoji849]
 
Mwenyekiti Lissu Atalishungulikia hili
Usijalii
Hahahahahahaha

Safi sanaaaa

20250122_081418.jpg
 
Sijui ni nini mnachotaka ku-demostrate kwa miaka hii yote ya kuwalisha watu masizoni ya ottoman.

Ina maana burudani na historia inayopaswa kuonwa na watanzania ni ya jinsi gani sijui waserjouk walivyovamia kila kona na kuwabadirisha traditions zao.

Najua mtaanza na stori za kutengeneza kuwa watu ndio wanazitaka, please stop, mna maana yenu maalum kwa nini mnazionesha na hata sisi tushawashtukia.

Ebu mizani i - balance, kuna tamthilia nyingi za historia za empire nyingi haiwezekani eti ya ottoman ndio iwe jadi.

too much double standard
Bora ww umeliona hili,,, hizo tamthilia zina chembe kubwa ya udini...hilli ni jambo hatari sana.
 
Back
Top Bottom