Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tuTimu nzima ndio inaweza kuvunja mkataba. Ila hiyo Club itatengeneza fedha za kutosha.
Unadhani wachezaji ni watiifu kwa mkataba sababu sheria haziwaruhusu kuvunja? Ni watiifu kwa sababu ya gharama za kuvunja mkataba.
Mkuu kwa kukusaidia kasome FIFA regulations on the status and transfer of players. Article 17 afu urudi hapa tuone nani sio mtu wa mpira.Unaonekana sio mtu wa mpira, wewe unazani mpira unaendeshwa kama unavyo endesha biashara zako. Naymer yule ana timu ya watu ipo nyuma yake kila anacho kifanya kaa ukijua kafuata taratibu.
Ambayo mchezaji anaruhusiwa,kujithaminisha mwenyewe na kudepposit hela kwenye club yake anayo ichezea, bila kuishirikisha club? Kama ingekuwa hivyo ,usajili ungekuwa rahisi sana ulaya na sina haja ya kuisoma hiyo article kwani naamini hamna sehemu yoyote ile,tena kwa hivi vilabu tajiri wangekuwa wanatumia mlango huo huo.Mkuu kwa kukusaidia kasome FIFA regulations on the status and transfer of players. Article 17 afu urudi hapa tuone nani sio mtu wa mpira.
Jikite kwenye hoja na sio kumshambulia mtoa hoja.
Huwezi kumlazimisha mtu acheze kama hataki, ni kama leo wafanyakazi wote wa serikali waamue kuacha kazi maana si wanaruhisiwa kuacha. Kitatokea nini ? Au unadhani ni rahisi kutokea hivyo ?Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tu
Ok boss, Fuatilia tena kama una muda wa kupoteza maana hilo suala lilishapita, ukifuatilia mahojiano ya Fei na mwakilishi wake utagundua mengi.Sasa barua ndio kukutana? Nilikuwa naomba barua moja wapo na tena intvw aliyo ifanya clouds imemexpose sana Fei na timu yake,sijasikia wakisema kwamba waliomba kukutana na Yanga tena kwa barua rasmi.
Hapana Azam hawamkomoi wanalinda maslahi ya Club unless Dube akaja na hoja kwanini 750m si sahihi na kiasi gani ni sahihi kulingana na mkataba wake.Vip wewe kwa mtizamo wako Dube akose timu ya kutoa 750m na amue kususa kama alivyofanya Fei,ina maana Azam watalaumiwa kwa kumkomoa na kushusha kiwango chake? Maana busara za mama kwa Dube hazipo.
Wanasiasa hawaruhusiwi kuingilia mambo ya mpira esp wenye hadhi kubwa kama raisi.So wewe kwa mtizamo wako ni sawa mpira wetu ukaachana na sheria na taratibu na kufuata hekima na busara....... za wanasiasa wenye hadhi kubwa?
Na ndivyo ilivyo na Feisal alifanya hiko na hakukosea, shida tu hakuitaarifu TFF, huko juu nimeshaeleza hili.Ambayo mchezaji anaruhusiwa,kujithaminisha mwenyewe na kudepposit hela kwenye club yake anayo ichezea? Kama ingekuwa hivyo ,usajili ungekuwa rahisi sana na sina haja ya kuisoma hiyo article kwani naamini hamna sehemu yoyote ile.
Unatoka kwenye mashindano. Kila aliyepaswa kukutana na wewe anapata point 3 za mezani. Sijachukulia kawaida na si suala la kawaida. Ww una tatizo gani mpaka wachezaji wote watake kuondoka na wawe tayari kuingia hasara ya fedha za kukulipa kuvunja mkataba?Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tu
Huo mfano wako wa mwanajeshi? Kwani Fei kaonewa na Yanga?Ok boss, Fuatilia tena kama una muda wa kupoteza maana hilo suala lilishapita, ukifuatilia mahojiano ya Fei na mwakilishi wake utagundua mengi.
Hapana Azam hawamkomoi wanalinda maslahi ya Club unless Dube akaja na hoja kwanini 750m si sahihi na kiasi gani ni sahihi kulingana na mkataba wake.
Wanasiasa hawaruhusiwi kuingilia mambo ya mpira esp wenye hadhi kubwa kama raisi.
Hata hivyo tunafurahi aliingilia sababu viongozi wa Yanga wangemnyoosha yule kijana.
Inawezekana kabisa vita vya Fei ni kati yake na kiongozi mmoja tu ila sasa kiongozi anapigana kupitia Taasisi yenye watendaji na mashabiki wanaompenda sana.
Umeshawahi kusikia mtu ana tatizo na askari polisi mmoja mwenye nguvu ila kupigana naye lazima alitie doa jeshi la polisi? Unadhani ni rahisi kushinda bila msaada wa mwingine mwenye nguvu?
Kwa mtizamo wako hakukosea,ila kisheria hiyo ni bongo tu kwenye mpira wetu unao ongozwa na hekima na busara.Na ndivyo ilivyo na Feisal alifanya hiko na hakukosea, shida tu hakuitaarifu TFF, huko juu nimeshaeleza hili.
Kwani hiyo fidia unadhani ni rahisi kulipa ?
Fei yupo Azam. Suala la kuonewa halipo tena.Huo mfano wako wa mwanajeshi? Kwani Fei kaonewa na Yanga?
Maslahi yanalindwa kwa kuweka wazi hayo maslahi ili kama kuna fidia zilipwe.So ina maana kipindi kile ambacho ulikiwa unapinga kwa Fei,Yanga walikiwa hawalindi maslahi yake?
Sio suala la kufurahi ni suala la haki. Club ipate haki yake na mchezaji apate haki yake. Mpira si biashara ya Utumwa.Kwa hiyo ikitokea kwa Dube kasusa na Azam wakamnyoosha utafurahi kama kwa Fei?
Sina mihemko katika hili. Yanga hawakuwa wazi wanataka nini kwa Fei kama ambavyo Azam yupo wazi.Najua unafurahi sababu ni Yanga ila ingekuwa kwako husinge furahi. Huu mpira na sheria zetu zipo hovyo, ilikuwa kwa Yanga,leo Azam unaweza ukakuta kesho kwako na sisi tutarefer kauli zako.
Mkataba hata ukiusaini unaruhusiwa kuuvunja. Wewe lipa hela za watu tu zinazotakiwa. Ile ni biashara. Kama ni nyingi sema ni kiasi gani ni sahihi na kwanini. Simple. MPIRA NI BIASHARA.Kwa mtizamo wako hakukosea,ila kisheria hiyo ni bongo tu kwenye mpira wetu unao ongozwa na hekima na busara.
Sasa mkataba alisaini wa nini?
Feisal alikuwa sahihi, alifanya kulingana na mkataba wake, kuwa akihataji kuvunja alipe dau lake pamoja na mishahara ya miezi mitatu akafanya hivyo.Kwa mtizamo wako hakukosea,ila kisheria hiyo ni bongo tu kwenye mpira wetu unao ongozwa na hekima na busara.
Sasa mkataba alisaini wa nini?
Uwazi upi ulikiwa unautaka.... kila mtu anaaproach ya kufanya biashara yake as long taratibu na sheria zinafuatwa so Yanga hakuvunja sheria.Fei yupo Azam. Suala la kuonewa halipo tena.
Maslahi yanalindwa kwa kuweka wazi hayo maslahi ili kama kuna fidia zilipwe.
Sio suala la kufurahi ni suala la haki. Club ipate haki yake na mchezaji apate haki yake. Mpira si biashara ya Utumwa.
Sina mihemko. Yanga hawakuwa wazi wanataka nini kwa Fei kama ambavyo Azam yupo wazi.
Mkuu embu weka mahaba pembeni. Wapi umeambiwa kuwa Yanga haikuwa na haki? Yanga ilikuwa na haki zake suala ni haki zipi? Fei alitakiwa kufanyaje ili azitimize hizo haki aondoke?Uwazi upi ulikiwa unautaka.... kila mtu anaaproach ya kufanya biashara yake as long taratibu na sheria zinafuatwa so Yanga hakuvunja sheria.
So kwa Fei yanga ilikuwa haina haki ndio maana ulifurahi hekima za mama? Ila Azam wa haki kwa Dube so hatuhitaji hekima na busara za mama.
Hivi ujawahi ona makocha au wachezaji wanavunjiwa mikataba ??Uwazi upi ulikiwa unautaka.... kila mtu anaaproach ya kufanya biashara yake as long taratibu na sheria zinafuatwa so Yanga hakuvunja sheria.
So kwa Fei yanga ilikuwa haina haki ndio maana ulifurahi hekima za mama? Ila Azam wa haki kwa Dube so hatuhitaji hekima na busara za mama.
Kuna sehemu nimepingwa mkataba kuvunjwa?Mkataba hata ukiusaini unaruhusiwa kuuvunja. Wewe lipa hela za watu tu zinazotakiwa. Ile ni biashara. Kama ni nyingi sema ni kiasi gani ni sahihi na kwanini. Simple. MPIRA NI BIASHARA.
Huyo kashikilia mahaba tuMkuu embu weka mahaba pembeni. Wapi umeambiwa kuwa Yanga haikuwa na haki? Yanga ilikuwa na haki zake suala ni haki zipi? Fei alitakiwa kufanyaje ili azitimize hizo haki aondoke?
Mkataba sio lazima uvunjwe pande mbili jomba.Kuna sehemu nimepingwa mkataba kuvunjwa?
Je taratibu na kanuni za usajili zilifuatwa kwa mchezaji (Fei) aliyetaka kuvunja mkataba ?
Je umeona utofauti wa Fei na Dube wa approach yao ya kutaka mkataba uvunjwe,WEWE UMEGUNDUA NINI ktk hii miwili hasa upande wa uweledi?
Narudia tena mchezaji yoyote anaweza kuvunja mkataba as long sheria na kanuni zifuatwe,kama mkataba ulisainiwa na pande mbili basi hata kuvunjwa utavunjwa na pande mbil.
Inakikumbuka hiki ulicho kiandika.Mkuu embu weka mahaba pembeni. Wapi umeambiwa kuwa Yanga haikuwa na haki? Yanga ilikuwa na haki zake suala ni haki zipi? Fei alitakiwa kufanyaje ili azitimize hizo haki aondoke?
So hawa kumshirikisha Sawadogo? Wewe unazani hito fidia inakuwa calculated na upande mmoja?Mkataba sio lazima uvunjwe pande mbili jomba.
Sawadogo alikuwa hataki kuondoka Simba ila alipewa thank you, muhimu ni fidia basi, akalipwa 700M yakaisha.
Umeshaelezwa kuwa kuna unilateral contract termination hebu nenda google kwanza