joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ndio visha fanana,Dube anaenda kwao kula ugali na sukari.Hahahaha. Embu kunywa maji kwanza. Havifanani kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio visha fanana,Dube anaenda kwao kula ugali na sukari.Hahahaha. Embu kunywa maji kwanza. Havifanani kabisa.
Waswahili husema mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mchezaji wa Azam, Prince Dube ameandika barua ya kuvunja mkataba ambao umebakiza miaka 2!
Jambo hili sio jambo zuri hata kidogo kwenye soka letu, suala la mchezaji kukosa tu furaha na akaamka asubuhi na kuandika barua ya kuvunja mkataba ni jambo la ovyo sana!
Lilitokea kwa Feisal na watu wa ovyo ambao hawakujua ni kitu gani kinatengenezwa wakawa wanaunga mkono ujinga ule matokeo yake kilichofanyika ndio kinakwenda kufanyika Tena kwa Prince Dube!
Tuliwaonya Azam juu ya kile walichokifanya kwa Feisal Salum kumrubuni na kutumia njia za hovyo kumpata akiwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na nusu lakini walitetewa na mchezaji alipata watetezi wapuuzi wapuuzi waliokuwa na maslahi na upande ule, sasa basi leo hii kile kile kimewakuta kwa mchezaji ambae bado ana mkataba mrefu kuandika barua ya kuvunja mkataba!
Kwa juu juu unaweza Kuona Kama ni jambo la kawaida lakini nyuma ya Prince Dube Kuna msukumo wa ushawishi Kama ilivyokuwa kwa Feisal, Kuna kisasi kinataka kulipwa hapa kwa njia zile zile na kwa muktadha ule ule!
Na jambo hili litaendelea kwa wachezaji wengine na wengine kwakuwa njia ya kufanya ivyo aliitengeneza Azam mwenyewe hivyo basi wasiweke ugumu wowote kumuachia na michango ya kuvunja mkataba wake tutatoa Kama ilivyokuwa kwa feisal tuwekewe tu account ya bank tuanze mdogo mdogo kuzichanga!
Jemedari kuna wakati kichwa yake inapata moto mara kesho yake inakuwa sawa.Tukisema Jemadari Said ni Kanjanja anatetewa. Haya ajitokeze atetee maslahi ya Dube aondoke bure Azam maana amechoka maisha ya Chamazi. Huu nao ni uhuni kama uhuni mwingine. Nasubiri Jemadari mtetea Wahuni ajitokeze.
Fei alifungua kesi. Dube kafungua?Ndio visha fanana,Dube anaenda kwao kula ugali na sukari.
Hicho ndicho kinacho fuata......Nilivyo viongea kwenye huu uzi,ndivyo vimetokea japo ulisema ni hisia.Hata hiko kipo njiani ni swala mda tupo hapa,tutakumbushana.Fei alifungua kesi. Dube kafungua?
Ili hayo matukio yafanane inatakiwaHicho ndicho kinacho fuata......Nilivyo viongea kwenye huu uzi,ndivyo vimetokea japo ulisema ni hisia.Hata hiko kipo njiani ni swala mda tupo hapa,tutakumbushana.
Ngoja tuendelee na mpira wetu wa kihuni na watu wataendelea kukopi na kupesti.
Wewe unazani Bakheresa hajamtafuta,hivi unajua Yusuph usajili anafanya mwenyewe?Ili hayo matukio yafanane inatakiwa
1.Dube aweke pesa Azam
2.Azam wazikatae.
3.Azam waendelee kumlipa mshahara.
4. Dube aukatae mshahara na kufunga account.
5. Dube ale ugali na sukari
6. Dube atake mtendaji mkuu aondoke yeye ndo abaki
7. Dube ampigie simu bakhresa asipokee simu yake.
8.Bhakresa amtafute na yeye Dube asuse sababu hakupokea simu zake.
9. Dube ashindwe kesi mara tatu
10. N.k n.k n.k
Sawa, wewe unafahamu ila Ikishatangazwa rasmi ndo na mm nafahamu.Wewe unazani Bakheresa hajamtafuta,hivi unajua Yusuph usajili anafanya mwenyewe?
Subiri basi wakishaenda. Chukua popcorn kabisa. Kwani una la kupoteza?Si kapeleka dola laki 150 Azam wamezikataa au.......
Kilicho baki ndicho cha tisa,mda si mrefu.. watapelekana TFF na Azam watakuwa wa kwanza kwenda TFF.
Uhuni watu wanatafuta maslahi? Amekuibia au kukutapeli Tsh ngapi Dube?Halafu issue sio kufanana,issue ni uhuni mfano Dube kususia mazoezi na kukaa nyumbani,Fei nae si alifanya hivyo hivyo. Mimi ninacho kizungumzia ni uhuni, ambao utaendelea kufanyika tu.
Sawa, wewe unafahamu ila Ikishatangazwa rasmi ndo na mm nafahamu.
Subiri basi wakishaenda. Chukua popcorn kabisa. Kwani una la kupoteza?
Uhuni watu wanatafuta maslahi? Amekuibia au kukutapeli Tsh ngapi Dube?
Huko nje unapopatolea mifano hata ukivunjika fuvu linaungwa, tulia watu watengeneze fedha.Tafuta maslahi kwa taratibu kwa hiyo style ya kususa ya Dube wewe unaona ipo sawa sababu anataka jambo lake analo lijua yy..... Mbape yule Madrid wanamnyatia mda mrefu, ulimuona kususa,ila kaamua kubaki mpaka mkataba wake umeisha kagoma kusaini mkataba mpya na PSG na juzi alitwa mpaka na Rais wa Ufaransa,still kakomaa na msimamo wake wa kwenda Madrid na anacheza kama kawa kwenye club yake na juzi katupia mbili.
Issues mpira wetu tumeacha professionalism tunaendelea na uhuni.
"Subiri basi wakishaenda. Chukua popcorn kabisa. Kwani una la kupoteza?"
Mimi sina cha kupoteza ila uhuni utaendela kwenye mpira wetu,tujiandae na wengine kwani watafanya uhuni huu huu.
Si shangai na hata ww najua ushangai sababu ndio mpira wetu kivyetuvyetu.Huko nje unapopatolea mifano hata ukivunjika fuvu linaungwa, tulia watu watengeneze fedha.
Tuliona Kwa Fei Toto.... Una swali lingine....!!Hakuna mpira wa hivyo duniani tatizo ushabiki unawafanya hadi akili zinafyatuka timu ipo kati kati ya msimu anaibuka mchezaji anataka kuvunja mkataba uliona wapi hii kitu
Umesahau kama fei alitoa izo ela mlizotaka na mkagoma kuzichukuaYanga waliweka wazi kua atekeleze masharti ya kuvunja mkataba
Azam wapo straight, hawajamlazimisha Dube kurudi kambini wanachotaka ni pesa yao.Si shangai na hata ww najua ushangai sababu ndio mpira wetu kivyetuvyetu.
Wewe upo wapi kocha alimpigia simu Dube baada ya kuandika ile barua akamwambia atakuja mazoezini, hakutokea then uongozi waemtafuta kwenye simu juzi asubuhi yake akaandika barua ya kuwashukuru kwa kuwa nao.Azam wapo straight, hawajamlazimisha Dube kurudi kambini wanachotaka ni pesa yao.
Habari za uhakika kutoka ndani ya uongozi wa Azam ni kuwa, wamepiga marufuku kwa Dube kuhudhuria mazoezi au kushiriki shughuli zozote za timu hiyo na wanachohitaji ni mchezaji huyo kulipa kiwango wanachohitaji kwa ajili ya kuvunja mkataba wake.
Iyo ishu ni ndogo sana ata wangeweka milioni 900, timu inayomtaka itambeba tu maana iyo pesa aiwezi kutoka kwa mkupuo italipwa kwa installment mpaka iishe ata miaka 3, ni makubaliano Kama ambavyo pesa ya feitoto inavyolipwa na Azam msidhani Azam walilipa ela yote kwa mkupuo Bali wanalipa kwa mafungu kwa muda waliokubalianaAzam wapo straight, hawajamlazimisha Dube kurudi kambini wanachotaka ni pesa yao.
Habari za uhakika kutoka ndani ya uongozi wa Azam ni kuwa, wamepiga marufuku kwa Dube kuhudhuria mazoezi au kushiriki shughuli zozote za timu hiyo na wanachohitaji ni mchezaji huyo kulipa kiwango wanachohitaji kwa ajili ya kuvunja mkataba wake.
Sikia, Point hapa ni viongozi wa Azam hawamtaki Dube arudi kambini, wanataka pesa yao. Yaani straight kama hivyo. Umevunja mkataba tupe chetu.Wewe upo wapi kocha alimpigia simu Dube baada ya kuandika ile barua akamwambia atakuja mazoezini, hakutokea then uongozi waemtafuta kwenye simu juzi asubuhi yake akaandika barua ya kuwashukuru kwa kuwa nao.
Na kishaanza kutema shit.
Source: Wasafi Fm.
Azam nimependa walivyodeal na hili suala. Hawajataka mlolongo mrefu. Hututaki? Leta pesa, Ondoka. Straight and clear.Iyo ishu ni ndogo sana ata wangeweka milioni 900, timu inayomtaka itambeba tu maana iyo pesa aiwezi kutoka kwa mkupuo italipwa kwa installment mpaka iishe ata miaka 3, ni makubaliano Kama ambavyo pesa ya feitoto inavyolipwa na Azam msidhani Azam walilipa ela yote kwa mkupuo Bali wanalipa kwa mafungu kwa muda waliokubaliana
Wewe kama unabisha bisha,ila Dube kapigiwa simu kocha kuwa anamuhitaji mazoezini, Dube hajaonekana ndipo viongozi wakamtafuta na Source nimekiweka kama unabisha endelea kubisha,ila haibadilishi chochote.Sikia, Point hapa ni viongozi wa Azam hawamtaki Dube arudi kambini, wanataka pesa yao. Yaani straight kama hivyo. Umevunja mkataba tupe chetu.