mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Nieleweshe yakheeLabda hajajua maana ya hii kauli mbiu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nieleweshe yakheeLabda hajajua maana ya hii kauli mbiu
Hakuna channel ya kuangalia mule cha ajabu hata kina Mohammed, Yahaya ,Halima, Zainab wanakidiss kiukweli wameshika nafasi ya pili kwa kuchukiwa na mimi kutoka kile cha ki China sasa nakula Fiber watakoma
Kwani machanel ya kinamwamposa ayapo?Ingeungana tu na TV imaan... hicho king'amuzi huwa nasikia kichefuchefu hata kwa kukiona tu.
Mpaka mkeo anafika hatua ya kuwa addicted na series na hakuhudumii basi jichunguze mkuu uwenda tatizo sio Azam tvNilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
Hpn nilishajichunguza mbona nilipo kitoa sasa hivi mambo inaendaMpaka mkeo anafika hatua ya kuwa addicted na series na hakuhudumii basi jichunguze mkuu uwenda tatizo sio Azam tv
Ndivyo inavyoanzaga hivi hivi na dunia inavyobadirika kila sec ktk technology, we omba uzimaWatakoma kina nani sasa?
Yaani uchote ndoo moja ya maji baharini useme umekausha bahari?
Ni binadamu piaHao uliwataja ni kina nani?
Siwezi nunua hiyo takataka mimiKwani machanel ya kinamwamposa ayapo?
Mlilazimishwa kununua?
Haujashikiwa mjegejo mzee,pambana na hali yako[emoji108]Siwezi nunua hiyo takataka mimi
Hapo ushajiona una undugu na Azam ilhali mwenyewe anawachukulia kama takataka na kobazi zenuHaujashikiwa mjegejo mzee,pambana na hali yako[emoji108]
jamaa hajui matumizi ya remote wala hajui kwann amenunua decoderEti mi nahisi mchawi at work,!
Unasema wewe[emoji23], Naitwa Mardath M Mouhnd nionyeshe ubini wa Azam hapo.Hapo ushajiona una undugu na Azam ilhali mwenyewe anawachukulia kama takataka na kobazi zenu
Mtu anayetumia king'amz cha Azam huwa namshangaa, labda wenye vibanda umiza sababu ya mpira .... unakimbilia ving'amz vya hovyo hovyo wakat DSTV ipoNilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote