Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

Hakuna channel ya kuangalia mule cha ajabu hata kina Mohammed, Yahaya ,Halima, Zainab wanakidiss kiukweli wameshika nafasi ya pili kwa kuchukiwa na mimi kutoka kile cha ki China sasa nakula Fiber watakoma

Watakoma kina nani sasa?
Yaani uchote ndoo moja ya maji baharini useme umekausha bahari?
 
Basi ndiyo hivyo tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Azam ni kama maji usipoyanywa utayaoga,usipoyaoga utayanywa na usipoyanywa utachambia,na usipochambia utafulia na usipo fulia utayanawa[emoji108]

Unga,sukari,maji,kisimbuzi,nk


Kwani chanel ya mwamposa haipo kwa kisimbuzi cha azam baba lao???

Au mnataka nini??


Najisemeaga hivi mo dewj,Azam wangekuwa wa dini ile jamani tunge hama nchi wallaj,tungesimangwa kishenzi,
 
Jeuri ya afya. Mzee dunia tunapita kaa chin mtafute mgonjwa uone anavyo tafuta faraja kwa channel za din iwe islam au kristo.
 
Nilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
Mpaka mkeo anafika hatua ya kuwa addicted na series na hakuhudumii basi jichunguze mkuu uwenda tatizo sio Azam tv
 
Maisha ni kuchagua, mbona mimi hizo channel hata sizijui...me nalipia king'amuzi nicheki soka tu hayo mengine nawaachia wenyewe.

Acha kujipa stress jamaa hata ukiacha kutumia hutawapunguzia kitu.
 
Hiyo kampuni ni ya Mtu wa dini, anaiendesha kidini
 
Mkuu hebu Fanya Kukiangalia Upya tena, kwa maana Channel za Dini Na madhehebu Mbalimbali zipo... Kwa Uharaka kuna Hizi za Kiislamu;
africa tv Swah
Tv Imaan
Zbc 2
Mahaasin TV
Tv Islam
Hizi ni Kwa haraka haraka wakati Upande wa Dini Ya Kikristu na Madhehebu yake kuna Hizi hapa
UPENDO TV KKKT
HOPE CHANNEL YA KISABATO
WRM TV ya Nabii gani sijui
Arise and Shine ya Mwamposa
Tumaini TV Wakatoliki
Nabii TV ya Nabii gani sijui
Haleluya TV
Testimony Tv
Trenet TV ya Efatha Church TZ
Jw Broadcasting ya Mashahidi wa Yehova na Habari za Mnara wa Mlinzi
Joy Gospel TV
Jehova Jire tv
Mzee wa Upako TV
Emannuel Tv ya TB Joshua
Amen TV
Winners Chapel TV
Gospel life
GeorDavie TV huyu Mwamba Ukiokota Bag la Nguo zake sidhani kama zinavalika [emoji3][emoji3][emoji3]


Kiufupi naona Kama Za Kikristo zimezidi hapo Sijaorodhesha zile za Kihindi.

Labda Ungesema AZAM TV imejaa Udini wa Kiislam pengine ningekubaliana nawe kwa maana Tunajionea msimu wa Krismass na pasaka ikifika wana act as if hakuna kitu, ila msimu wa Ramadan na Eid kunanoga. Waache ubaguzi
 
Hapo ushajiona una undugu na Azam ilhali mwenyewe anawachukulia kama takataka na kobazi zenu
Unasema wewe[emoji23], Naitwa Mardath M Mouhnd nionyeshe ubini wa Azam hapo.

Kobazi ni nini? Embu basi mjifunze kubalance shobo eti,

Home tuna kisimbuzi cha Dstv na startimes kwaajili ya tamthilia/watoto, sijawahi kuvutiwa na hicho kisimbuzi cha Azam,
 
Nilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
Mtu anayetumia king'amz cha Azam huwa namshangaa, labda wenye vibanda umiza sababu ya mpira .... unakimbilia ving'amz vya hovyo hovyo wakat DSTV ipo
 
Back
Top Bottom