mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Ndio nimeolewaKumbe umeolewa? Nilidhani wewe mjane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimeolewaKumbe umeolewa? Nilidhani wewe mjane
Punguza hasira usiwe kama wajaneNdio nimeolewa
Kuna Wavulana humu wanapenda kuangalia zile tamthiliya zilizo tafsiriwa kwa kiswahili wakikaa na kinadada zao kina Nafaka wakisimulianaMtu anayetumia king'amz cha Azam huwa namshangaa, labda wenye vibanda umiza sababu ya mpira .... unakimbilia ving'amz vya hovyo hovyo wakat DSTV ipo
Kabisa kuna kidada cha kazi kimeolewa ila kinafanya kazi kwenye nyumba ya jirani kinaitwa mludego kikianza kutazama hizo tamthlia kinasahau hadi kupika kinaishia dundwa na boss wakeKuna Wavulana humu wanapenda kuangalia zile tamthiliya zilizo tafsiriwa kwa kiswahili wakikaa na kinadada zao kina Nafaka wakisimuliana
Huna punch unatoka nje ya mstari, hueleweki unaandika nini nimekupa ushauri wa bure mshirikishe mumeo kabla ya ku comment hapaKabisa kuna kidada cha kazi kimeolewa ila kinafanya kazi kwenye nyumba ya jirani kinaitwa mludego kikianza kutazama hizo tamthlia kinasahau hadi kupika kinaishia dundwa na boss wake
Kumbe ulikuwa unachana uwe kama zuchu we dada wa kazi. Fanya kazi upeleke chakula kwa mumeo acha keleleHuna punch unatoka nje ya mstari, hueleweki unaandika nini nimekupa ushauri wa bure mshirikishe mumeo kabla ya ku comment hapa
Ngoja nikupuuze tuuKumbe ulikuwa unachana uwe kama zuchu we dada wa kazi. Fanya kazi upeleke chakula kwa mumeo acha kelele
Ni burudani kwa wote watoto Wana za kwao wakubwa Wanazao wapenda dini zao wapenda mpira ndio kabisa watu wa mapishi utalii habari yani ni BURUDANI KWA WOTENieleweshe yakhee
Tapeli kubwa saaaana. Et yesu kamtokea physicaly juzijuzi lakini hakumbuki tarehe.
Mkuu hebu Fanya Kukiangalia Upya tena, kwa maana Channel za Dini Na madhehebu Mbalimbali zipo... Kwa Uharaka kuna Hizi za Kiislamu;
africa tv Swah
Tv Imaan
Zbc 2
Mahaasin TV
Tv Islam
Hizi ni Kwa haraka haraka wakati Upande wa Dini Ya Kikristu na Madhehebu yake kuna Hizi hapa
UPENDO TV KKKT
HOPE CHANNEL YA KISABATO
WRM TV ya Nabii gani sijui
Arise and Shine ya Mwamposa
Tumaini TV Wakatoliki
Nabii TV ya Nabii gani sijui
Haleluya TV
Testimony Tv
Trenet TV ya Efatha Church TZ
Jw Broadcasting ya Mashahidi wa Yehova na Habari za Mnara wa Mlinzi
Joy Gospel TV
Jehova Jire tv
Mzee wa Upako TV
Emannuel Tv ya TB Joshua
Amen TV
Winners Chapel TV
Gospel life
GeorDavie TV huyu Mwamba Ukiokota Bag la Nguo zake sidhani kama zinavalika [emoji3][emoji3][emoji3]
Kiufupi naona Kama Za Kikristo zimezidi hapo Sijaorodhesha zile za Kihindi.
Labda Ungesema AZAM TV imejaa Udini wa Kiislam pengine ningekubaliana nawe kwa maana Tunajionea msimu wa Krismass na pasaka ikifika wana act as if hakuna kitu, ila msimu wa Ramadan na Eid kunanoga. Waache ubaguzi
At least ume Anza kumwamini kua kweli ni mtu WA MunguKwani machanel ya kinamwamposa ayapo?
Mlilazimishwa kununua?
Vp umemwamini huyo mwamposaBasi ndiyo hivyo tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Azam ni kama maji usipoyanywa utayaoga,usipoyaoga utayanywa na usipoyanywa utachambia,na usipochambia utafulia na usipo fulia utayanawa[emoji108]
Unga,sukari,maji,kisimbuzi,nk
Kwani chanel ya mwamposa haipo kwa kisimbuzi cha azam baba lao???
Au mnataka nini??
Najisemeaga hivi mo dewj,Azam wangekuwa wa dini ile jamani tunge hama nchi wallaj,tungesimangwa kishenzi,
Mkuu[emoji23] unatutusi sisi wafuga ndevu ?Nilisha achana nao hao ma bwegee wafuga ndevu na wavaa kobasi hasa walipoleta upumbavu wa kutafsiri hayo ma series yao ya kifara,Mpaka wake zetu wamekua addicted hawahudumii familia pumb.vu sana hawa rubudani kwa yote
wewe uisilam ujui hayo maigizo hayahusiani na dini ya uisilamu chunguza utaona watu wengi wakitazama maigizo hayo kila siku tangu lini watu wakaipenda dini ya uisilamu kiasi hicho?Makuhani gani, si useme wamejaza chaneli za kiislam, kama mmilili ni muislam ataweka chaneli za kutukuza dini yake. Kama si mambo ya kibiashara angejaza chaneli zote za kiislam ahubiri uislam. By the way kuna ving'amuzi vingi unaweza kununua king'amuzi kingene kisicho na chaneli hizo nyingi
Sorry mkuu sio wote