Azam ni Mwembe wetu wa Uani, tunajichumia tu maembe muda wowote

Azam ni Mwembe wetu wa Uani, tunajichumia tu maembe muda wowote

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.

Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.

Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.
 
Fungua tena uzi useme kama Azam atapata sare au kunifunga, kifimbi chako kipo rehani. Wajuba turuke nacho
Unataka filimbi upulize... Haya weka mdomo wako niingize kifilimbi changu upulize. Tegesha mdomo basi nikupe filimbi uipulize ... Kuna demu wangu naye hutumia neno hilo hilo la filimbi au microphone.
 
Fungua tena uzi useme kama Azam atapata sare au kunifunga, kifimbi chako kipo rehani. Wajuba turuke nacho
Hii nzuri aweke rehani hilo jicho watu wapite nalo kama radi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.

Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.

Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3
Admin njoo
Labani og
Njoo mchukue mwanzako huyu umpeleke ulipopelekwa ile wiki ya uhuru😂😂
 
 
Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.

Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.

Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3
Jamani mods fanyeni kazi yenu
 
Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.

Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.

Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3
Moderator fanyeni yenu
 
Back
Top Bottom