Azam Pesa: Huduma mpya ya kifedha

ANZISHENI SIM CARD YENU ITAKAYOKUWA NA HUDUMA ZA DATA NA KIFEDHA PEKEE NA SI KUPIGA SIMU,FANYENI ACCESS KWA HUDUMA ZA KIFEDHA DUNIANI KOTE MKIONGEZEA NA HUDUMA YA PAYPAL, MTAKUWA SUPA GIANT KWA EAST AFRICA.
 
Kwa sasa hivi, naweza kupata huduma ya azam pesa kwa lain ya vodacom.?
 
Kwa sasa hivi, naweza kupata huduma ya azam pesa kwa lain ya vodacom.?
😁Najibu kama freelancer, ndio unaweza kwasasa, pia, huduma ya kujisajili na Azampesa ni rahisi zaid. Ili kujiunga unatakiwa kuwasiliana nao kupitia namba ya Whatsapp +255 677 099 908 then utachagua kujisajili.
Vitu muhimu.
1. Number ya NIDA
2. Namba simu ambayo ipo hewani
3. Taarifa zako za NIDA ulizojaza wakati wa kujiandikisha (taarifa mbili tu)

Kuhusu mawakala: kwasasa wapo sehemu kubwa ya Dar es salaam na mikoani
Jinsi ya kujua wakala aliyekaribu nawe tafadhali nenda kwenye page yao ya Facebook, Instagram then taja eneo ulipo mfano; nipo tandale naomba wakala wa Azampesa aliyekaribu nami.
Azampesa: Jj Shop 07877711** mpigie kwa mawasiliano zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…