Ww unalalamika Azam wamewabagua wakristo kisa tu wamekataa kutaja neno krismas ,ila ITV walio kataza wanawake wa kiislam kuvaa hijabu ndani ya ofisi zao wako sawa? hivi kichwani mwako kuna akili au umejaza mavi?mpumbavu ni wewe unaefananisha vitu visivyofanana,mtoa mada anazungumzia kitu kingine wewe unaleta habari za kuvaa hijab na nyie tukiwaendekeza mtatuvalia makanzu yenu hadi sehemu zisizostahili tutaendelea kukaza mpaka akili ziwakae sawa.
Kuna channels za kikristo ndani ya dekoda ya Azam,ukifungua hizo utapata wishes mpaka theluji itakudondokeaWanajivua nguo, usitetee ujinga.
Kama wanajua watazamaji wao wana imani tofauti, hawatakiwi kuwabagua, wanachofanya ni ushamba na ubinafsi.
Vinginevyo wasiuze dikoda zao kwa wasio wa imani yao, lakini kama kwenye biashara wako tayari kupokea pesa ya yule asiye wa imani yao, lakini kwenye salamu hawataki kutoa salamu kwao, Azam ni washamba, na wasipoangalia kwa huu ujinga wao mbele ya safari utawa cost, mambo huanza taratibu.
Ilikua media zote Hadi TBC,mabinti wa kiislam walipata shida kisa ushungi, Allah sw kamleta bakhresa na bonge la media houseITV kuna mpaka na sheria ya kukataza wanawake walio ajiliwa hapo kuvaa hijabu mbona hujawahi kuja hapa kubwabwaja kuhusu hilo?
Qur'an inasema baadhi ya wakiristo Wana chuki Sana na waislam, Qur'an haiongopi!!Waislamu ni wabaguzi naturally ifike hatua wakristu waachane na mambo yao yani kama wewe ni mkristu do not buy azam dish etc etc kama wao wanavyobagua na wakristo waanze kuwabagua na wakati wa sherehe zao zile wakristu jitahidini sana kutokuvaa kanzu na barakashia na hijab zao kuonyesha hatuhusudu mambo yao iwe ngoma droo wamezidi sana kujiona bora wakati hawana lolote
Huijui utv, azam news wewe 🤩Mimi decoder yangu ni Dstv tu. Sijawahi kuvutiwa na Azam na wengine.
Ni kweli siijui ndio naiskia kwako.Huijui utv, azam news wewe 🤩
Ok 🤝Ni kweli siijui ndio naiskia kwako.
Napenda International news.
Siyo kiswahil hiko ni kiarabuMzee siyo kweli, sema kiswahili kilikupiga chenga darasani labda.
Au huelewi hii salaam alaykum unamaana gani.
inawapotosha kama inazungumzia mambo hayo na ndio mana mmepotoka kila kona na kuishia kuwa wabaguzi kwa kujiona inferior na mnaonewa kila wakatiQur'an inasema baadhi ya wakiristo Wana chuki Sana na waislam, Qur'an haiongopi!!
umeona eeh yani sijui wakristo huwa wanataka nini?????binafsi hata kuandika tu hayo maneno siwezi na wala siwezi vaa mavazi yao si balakashia au kanzu au hijab neverHuwa nashangaa sana mkristu unapost Ijumaa Qareem, sijui Idd Mubarak na kauli zingine za kujipendekeza. Hawa watu kamwe huwezi kuta wamepost "Dominika Njema" au "wish za siku ya Noel wala Pasaka" kwao ni mwiko! Anyway acha tuishi atakaesalimu amri atamheshimu mwenzake
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Vijana mnachuki za kidini mtadhani hizo dini mmechagua asilimia kubwa ya watu wa dini ni by birth umejikuta tu umezaliwa ndani ya familia ya Kikristo/Kiislamu hukuchagua lakini mnajivika mzigo mkubwa wa chuki for no reasons na unakuta mtu anasambaza chuki hapa wakati katika marafiki zake mtaani kuna wakristo na waislamu ila hapa tu ndio wanaonyesha rangi yao halisi.umeona eeh yani sijui wakristo huwa wanataka nini?????binafsi hata kuandika tu hayo maneno siwezi na wala siwezi vaa mavazi yao si balakashia au kanzu au hijab never
na wanaoongoza kwa chuki ni waislamu na sijui wakristo wangekuwa na chuki kama wao ingekuwajeVijana mnachuki za kidini mtadhani hizo dini mmechagua asilimia kubwa ya watu wa dini ni by birth umejikuta tu umezaliwa ndani ya familia ya Kikristo/Kiislamu hukuchagua lakini mnajivika mzigo mkubwa wa chuki for no reasons na unakuta mtu anasambaza chuki hapa wakati katika marafiki zake mtaani kuna wakristo na waislamu ila hapa tu ndio wanaonyesha rangi yao halisi.
Wewe bado mdogo sana toka bwenini kwanza unapojifungia na wenzako kwenye cube moja na kujazana ujinga njoo duniami kwanza uone maisha yalivyo ndio utajua chuki humuumiza yule mwenye kuzifuatilia.na wanaoongoza kwa chuki ni waislamu na sijui wakristo wangekuwa na chuki kama wao ingekuwaje