Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

Azam TV acheni ubaguzi kwa Wakristo

mpumbavu ni wewe unaefananisha vitu visivyofanana,mtoa mada anazungumzia kitu kingine wewe unaleta habari za kuvaa hijab na nyie tukiwaendekeza mtatuvalia makanzu yenu hadi sehemu zisizostahili tutaendelea kukaza mpaka akili ziwakae sawa.
Ww unalalamika Azam wamewabagua wakristo kisa tu wamekataa kutaja neno krismas ,ila ITV walio kataza wanawake wa kiislam kuvaa hijabu ndani ya ofisi zao wako sawa? hivi kichwani mwako kuna akili au umejaza mavi?
 
Wanajivua nguo, usitetee ujinga.

Kama wanajua watazamaji wao wana imani tofauti, hawatakiwi kuwabagua, wanachofanya ni ushamba na ubinafsi.

Vinginevyo wasiuze dikoda zao kwa wasio wa imani yao, lakini kama kwenye biashara wako tayari kupokea pesa ya yule asiye wa imani yao, lakini kwenye salamu hawataki kutoa salamu kwao, Azam ni washamba, na wasipoangalia kwa huu ujinga wao mbele ya safari utawa cost, mambo huanza taratibu.
Kuna channels za kikristo ndani ya dekoda ya Azam,ukifungua hizo utapata wishes mpaka theluji itakudondokea
 
ITV kuna mpaka na sheria ya kukataza wanawake walio ajiliwa hapo kuvaa hijabu mbona hujawahi kuja hapa kubwabwaja kuhusu hilo?
Ilikua media zote Hadi TBC,mabinti wa kiislam walipata shida kisa ushungi, Allah sw kamleta bakhresa na bonge la media house
 
Waislamu ni wabaguzi naturally ifike hatua wakristu waachane na mambo yao yani kama wewe ni mkristu do not buy azam dish etc etc kama wao wanavyobagua na wakristo waanze kuwabagua na wakati wa sherehe zao zile wakristu jitahidini sana kutokuvaa kanzu na barakashia na hijab zao kuonyesha hatuhusudu mambo yao iwe ngoma droo wamezidi sana kujiona bora wakati hawana lolote
Qur'an inasema baadhi ya wakiristo Wana chuki Sana na waislam, Qur'an haiongopi!!
 
Huwa nashangaa sana mkristu unapost Ijumaa Qareem, sijui Idd Mubarak na kauli zingine za kujipendekeza. Hawa watu kamwe huwezi kuta wamepost "Dominika Njema" au "wish za siku ya Noel wala Pasaka" kwao ni mwiko! Anyway acha tuishi atakaesalimu amri atamheshimu mwenzake

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Qur'an inasema baadhi ya wakiristo Wana chuki Sana na waislam, Qur'an haiongopi!!
inawapotosha kama inazungumzia mambo hayo na ndio mana mmepotoka kila kona na kuishia kuwa wabaguzi kwa kujiona inferior na mnaonewa kila wakati
 
Huwa nashangaa sana mkristu unapost Ijumaa Qareem, sijui Idd Mubarak na kauli zingine za kujipendekeza. Hawa watu kamwe huwezi kuta wamepost "Dominika Njema" au "wish za siku ya Noel wala Pasaka" kwao ni mwiko! Anyway acha tuishi atakaesalimu amri atamheshimu mwenzake

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
umeona eeh yani sijui wakristo huwa wanataka nini?????binafsi hata kuandika tu hayo maneno siwezi na wala siwezi vaa mavazi yao si balakashia au kanzu au hijab never
 
umeona eeh yani sijui wakristo huwa wanataka nini?????binafsi hata kuandika tu hayo maneno siwezi na wala siwezi vaa mavazi yao si balakashia au kanzu au hijab never
Vijana mnachuki za kidini mtadhani hizo dini mmechagua asilimia kubwa ya watu wa dini ni by birth umejikuta tu umezaliwa ndani ya familia ya Kikristo/Kiislamu hukuchagua lakini mnajivika mzigo mkubwa wa chuki for no reasons na unakuta mtu anasambaza chuki hapa wakati katika marafiki zake mtaani kuna wakristo na waislamu ila hapa tu ndio wanaonyesha rangi yao halisi.
 
Yaani hawa waarabu na wazungu walituharibu sana kutuletea huu upuuzi wao hebu fikiria mtu anafanya research ya kuona kama chanel itarusha "wish you a merry christmas & happy new year"! Usikute huyu ni msomi na anaitwa baba! Usikute mwingine huko akiona kwaya au mahubiri ya injili kwenye kituo cha tv/radio kinachomilikiwa na mwislam anahisi kichefuchefu! THIS IS PURE APEDOMIA.
 
Vijana mnachuki za kidini mtadhani hizo dini mmechagua asilimia kubwa ya watu wa dini ni by birth umejikuta tu umezaliwa ndani ya familia ya Kikristo/Kiislamu hukuchagua lakini mnajivika mzigo mkubwa wa chuki for no reasons na unakuta mtu anasambaza chuki hapa wakati katika marafiki zake mtaani kuna wakristo na waislamu ila hapa tu ndio wanaonyesha rangi yao halisi.
na wanaoongoza kwa chuki ni waislamu na sijui wakristo wangekuwa na chuki kama wao ingekuwaje
 
na wanaoongoza kwa chuki ni waislamu na sijui wakristo wangekuwa na chuki kama wao ingekuwaje
Wewe bado mdogo sana toka bwenini kwanza unapojifungia na wenzako kwenye cube moja na kujazana ujinga njoo duniami kwanza uone maisha yalivyo ndio utajua chuki humuumiza yule mwenye kuzifuatilia.
 
Back
Top Bottom