ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hii ni Imani yetu mkuu tuachie sisiNyingi si mnasema Yesu ni Mungu ? kwani Christmas ni sherehe ya kuzaliwa nani ? au Stress Challenger ?View attachment 2462029
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Imani yetu mkuu tuachie sisiNyingi si mnasema Yesu ni Mungu ? kwani Christmas ni sherehe ya kuzaliwa nani ? au Stress Challenger ?View attachment 2462029
Hilo na mm nililiona nikitaka kabsa kuanzisha Uzi juu ya kile ulichosema ,kuwa hawataki kuandika neno Chrismass katk television YaoNikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.
Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.
Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz
Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?[emoji26][emoji1745] Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
Umeelewa nilichoandika lakini..?Kwa hiyo Bharesa ni mchungaji mpaka mumlazimishe kurusha mahudhui yenu?
Uko sahhi Sana ingekuta siyo kuniteka kwenye ligi kuu kamwe wasingenipata maisha Yao yoteHapana huu upumbavu Azam vameanza nao zamani sana sema wakristo wajinga sana, mimi niliona tangu zamani sana na never siwezi kuwa na dish Azam wala kuangalia Azam tv never.
Azam ni wadini tena ni fedheha kuangalia Azam
DuhNdo maana Baraka Mpenja Na Paschal Kabombe wanalazimishwa waanze na salamu ya "Assalama aleko" wakiwa wanaanza kutangaza mpira
Acha uongo na wew lini walilazimishwa iko HV Azam Ni wadin SanaNdo maana Baraka Mpenja Na Paschal Kabombe wanalazimishwa waanze na salamu ya "Assalama aleko" wakiwa wanaanza kutangaza mpira
Lengo dsiyo kuangali channel zingine wange Seema tu "tunawatakia watuzamaji wetu heri ya xmass na mwaka mpyaWeka Chanel za kikristo zipo nyingi tu ndan ya Azam Tv kwenye hizo channel utakutana na merry krismass nyingi sasa we weka Tv Iman alaf uje useme unabaguliwa kwasababu hujaona merry krismass kumbe matatizo ni yako mwenyewe
Wazee wa Yanga walishasema tususie bidhaa zote za Azam.Hameni Azam.
mutapata pressure kwa roho mbaya kwa vile mtu fulani amepata maendeleo.Hapana huu upumbavu Azam vameanza nao zamani sana sema wakristo wajinga sana, mimi niliona tangu zamani sana na never siwezi kuwa na dish Azam wala kuangalia Azam tv never.
Azam ni wadini tena ni fedheha kuangalia Azam
nawachukia sana watu wanaojadili mambo ya kidini.sanaNikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.
Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.
Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz
Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?[emoji26][emoji1745] Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
watoto mliozaliwa 2000 /wanyoa viduku, wavaa vinjunga mna matatizo sana. haya uliyoandika unajua madhara yake kwa umoja wetu kama watanzania? acheni ujinga nyie watuWaislamu ni wabaguzi naturally ifike hatua wakristu waachane na mambo yao yani kama wewe ni mkristu do not buy azam dish etc etc kama wao wanavyobagua na wakristo waanze kuwabagua na wakati wa sherehe zao zile wakristu jitahidini sana kutokuvaa kanzu na barakashia na hijab zao kuonyesha hatuhusudu mambo yao iwe ngoma droo wamezidi sana kujiona bora wakati hawana lolote