Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hii kwetu haipo tuna ndugu wa dini tofauti katika familia tunza imani yako!If
Tu can ,kill all Muslims in Tanzania mainland Anza namm npo makambako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kwetu haipo tuna ndugu wa dini tofauti katika familia tunza imani yako!If
Tu can ,kill all Muslims in Tanzania mainland Anza namm npo makambako hapa
Hawanywi pombe ila wanapenda papaNilipeleka tangazo la pombe pale kwaajili ya kudhamini matangazo ya mechi za NBCPL na baadhi ya vipindi kwenye channel za Azam Sports 1 na UTV.
Mhusika akanijibu kuwa hawapokei matangazo ya pombe kwakuwa yanakiuka misingi ya kiimani hivyo wamiliki hawataki.
Sasa najiuliza je hao wamiliki kwao pombe ni haramu lakini muziki wa kidunia ni halali? Maana UTV inaweka nyimbo za hovyo na wasanii waliovaa vichupi, tangazo la Hotel Verde pia lina mdada kavaa chupi, je hayo ndiyo yanafaa kiimani?
Nitoe wito kwa wamiliki kuacha unafiki, kama wameamua kufuata maadili waachane na muziki, ndondi, movies za kipuuzi nk. Na kama wanaruhusu hayo waruhusu pia matangazo ya pombe.
ZBC Pia hii inawahusu.
Ukute tangazo lenyew ni la dabi Kiki au master au rider sizan Kama mtoa mada anatoka tbl au sbl au Windhoek,au guinnes au bas....Hauna busara za kutosha kuwa mtu wa advertising kweny big cash company ,hauna kifua kuficha Siri ,mm binafsi logo ya bongo n expensive Sana sidhani Kama Kwa ubongo wako unafaa kuwa mfanya KAZI au mmiliki na ukawa sehem ya matangazo ya ligi usifanye masikhara kwenye investment hawajafika pale juu ghaflaNilipeleka tangazo la pombe pale kwaajili ya kudhamini matangazo ya mechi za NBCPL na baadhi ya vipindi kwenye channel za Azam Sports 1 na UTV.
Mhusika akanijibu kuwa hawapokei matangazo ya pombe kwakuwa yanakiuka misingi ya kiimani hivyo wamiliki hawataki.
Sasa najiuliza je hao wamiliki kwao pombe ni haramu lakini muziki wa kidunia ni halali? Maana UTV inaweka nyimbo za hovyo na wasanii waliovaa vichupi, tangazo la Hotel Verde pia lina mdada kavaa chupi, je hayo ndiyo yanafaa kiimani?
Nitoe wito kwa wamiliki kuacha unafiki, kama wameamua kufuata maadili waachane na muziki, ndondi, movies za kipuuzi nk. Na kama wanaruhusu hayo waruhusu pia matangazo ya pombe.
ZBC Pia hii inawahusu.
Waunganishe na hamas Tu....kna raia wanataman wangezaliwa mbele hawa wamba wanaenda fujo za dini, watambue hatutoboi Kwa kuchukuwa walotoboaHii kwetu haipo tuna ndugu wa dini tofauti katika familia tunza imani yako!
On pointUkute tangazo lenyew ni la dabi Kiki au master au rider sizan Kama mtoa mada anatoka tbl au sbl au Windhoek,au guinnes au bas....Hauna busara za kutosha kuwa mtu wa advertising kweny big cash company ,hauna kifua kuficha Siri ,mm binafsi logo ya bongo n expensive Sana sidhani Kama Kwa ubongo wako unafaa kuwa mfanya KAZI au mmiliki na ukawa sehem ya matangazo ya ligi usifanye masikhara kwenye investment hawajafika pale juu ghafla
kumbukeni kuna makampuni ya pombe hudhamini ligi kuu na hata ligi daraja la kwanza, bia kama safari, pilsner, serengeti, kilimanjaro kampuni zao haziko mbali na ligi au michezo mingine kudhamini, ina maana azam ataacha kutangaza bidhaa hizo wakati anarusha michezo? Kuna kombe la dunia na afcon huko nako kuna makampuni ya bia yapo atakwepa vipi matangazo yao wakati anarusha michezo inayodhaminiwa na pombe hizo?Afu watamtangaza Kwa jina la logo simple
Hayo yote anayajua usimfundishe how to run his business, hivi unadhani akiacha kutangaza hilo kombe la dunia atapungukiwa chochote kwa upeo wako?kumbukeni kuna makampuni ya pombe hudhamini ligi kuu na hata ligi daraja la kwanza, bia kama safari, pilsner, serengeti, kilimanjaro kampuni zao haziko mbali na ligi au michezo mingine kudhamini, ina maana azam ataacha kutangaza bidhaa hizo wakati anarusha michezo? Kuna kombe la dunia na afcon huko nako kuna makampuni ya bia yapo atakwepa vipi matangazo yao wakati anarusha michezo inayodhaminiwa na pombe hizo?
Kuficha upuuzi kama huu ni uhayawani. Angesema tu hatupokei matangazo ya pombe ingetosha sio kuweka suala la dini wakati wanaruhusu mambo mengi ambayo uislamu umekataa.Ukute tangazo lenyew ni la dabi Kiki au master au rider sizan Kama mtoa mada anatoka tbl au sbl au Windhoek,au guinnes au bas....Hauna busara za kutosha kuwa mtu wa advertising kweny big cash company ,hauna kifua kuficha Siri ,mm binafsi logo ya bongo n expensive Sana sidhani Kama Kwa ubongo wako unafaa kuwa mfanya KAZI au mmiliki na ukawa sehem ya matangazo ya ligi usifanye masikhara kwenye investment hawajafika pale juu ghafla
Acha kumpangia mtu biashara yake si ufungue na wewe tv yako mkuu tatizo lipo wapi mbona makasiriko sana,kwani tv nyingine si zipo peleka huko tangazo lakoKuficha upuuzi kama huu ni uhayawani. Angesema tu hatupokei matangazo ya pombe ingetosha sio kuweka suala la dini wakati wanaruhusu mambo mengi ambayo uislamu umekataa.
Tatizo sio kukataliwa, tatizo ni kusema kigezo cha kukataa ni dini, sasa kama ni dini allah anakubali vichupi?Acha kumpangia mtu biashara yake si ufungue na wewe tv yako mkuu tatizo lipo wapi mbona makasiriko sana,kwani tv nyingine si zipo peleka huko tangazo lako
Mkuu mtu kama hataki na kitu chake usimpangie mambo yake ya imani muachie yeye na mungu wake, mambo ya imani ni very subjective huwezi kumchagulia mtu , ni magumu sana kujudge kila mtu aamini anachoona sawaTatizo sio kukataliwa, tatizo ni kusema kigezo cha kukataa ni dini, sasa kama ni dini allah anakubali vichupi?
Aache kurusha michezo atangaze dini tuMkuu mtu kama hataki na kitu chake usimpangie mambo yake ya imani muachie yeye na mungu wake, mambo ya imani ni very subjective huwezi kumchagulia mtu , ni magumu sana kujudge kila mtu aamini anachoona sawa
Sasa mimi na wewe hatuwezi kumpangia , hivi mtu katoa mabilioni yake kununua rights , wewe unashiba ugali wako huko buza unaanza kumpangia kweli? Kuna jew mmoja ambaye ni member wa premier league faith ethics comitee juzi karesign alikuwa anataka viwanja viwekwe bendera ya israel siku za mechi, wazungu na member wenzake wakamgomea wakamwambia hii nchi ina watu w pande zote na wote kiubinaadamu wameathirika na hivi vita hatuwezi kuwapendelea hawa tukawaacha wengine , hapo najaribu kukwambia tu tukiacha kuangalia vitu kishabiki mambo yatakaa sawaAache kurusha michezo atangaze dini tu
Na hilo ndilo lengo la post yako ni kutukana na sio hilo la tangazo kama ulivyojinasibisha nalo.Nabii issa wa kwenye qur an sio? Yule aliyezaliwa chini ya mtende, yule ambaye atakuja na ataoa? Kama ni huyo basi ni msela kama alivyokuwa muhammad na allah.
Unafiki allah hapendi kabisaNa hilo ndilo lengo la post yako ni kutukana na sio hilo la tangazo kama ulivyojinasibisha nalo.
Ujinga ni pale unapojikuta uko sahihi kwa kukejeli Imani za wengine bila kujiuliza nao wanaichukiliaje imani yako na wamefunga.
Kila mwanadamu awe kiongozi wa dini au mfuasi ktk kumuendea muumba wake kwa imani aaminiyo huwa anatekeleza yale anayoyamudu binafsi sijapatapo kuona mwanadamu asiye tenda dhambi.
Swali je kila mtenda dhambi haruhusiwi kujinyenyekeza kwake....? Kwa imani yetu haiko ivo nitakachokimudu kukiacha nitakiacha tena kwa kuamini kuwa naacha kwa sababu ya kukatazwa na Allah subhanahu wataala na ninachokifanya kimakosa hayo ni madhaifu yangu..
Sidhani kama utaacha kwenda kanisani eti kisa umemkuta mchungaji akifanya dhambi itakuwa tu hauko na imani na si mchungaji
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
NaamDuh
Ova
Kwahiyo Vichupi ni halali kwenye uislamu?Pombe ni hatari Kuna jirani yangu anafanya fujo sana hapa katika Familia yake Kama kichaa Bakhressa yupo sahihi Sana hata hotel Verde Pombe hawauzi ukimtafuta Mungu lazima umuishi kwa vitendo