Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
-
- #61
Kabisa mkuu, ni suala la muda tu.Ktk yote tangazo la Verde pale walichemka sana. Huwezi kuwa na double standard ya kijinga vile.
Naona miaka kumi ijayo Azam TV itakuwa tofauti sana
Mganga njaa tu huyo bandari mchezoBandari wamekupa kwanza? Mbona unafatilia vitu vidogo sana
Ndio tunaruhusiwa mkuu, mi nna boxer kibaoKuvaa chupi ruksa?
Kwahiyo Vichupi ni halali kwenye uislamu?
Hujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.Bakhressa muache yule sio mwenzio
Sawa🙌Hujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.
Sawa vaa boxer yako uende msikitiniNdio tunaruhusiwa mkuu, mi nna boxer kibao
Wamekukatalia labda wewe si muislamu mwenzao, mbona wanatangaza bia ya Serengeti, Kilimanjaro na nyinginezo. Pia mbona kuna mahubiri mengi tu ya kikristu na nyimbo pia, kama una kumbukumbu kuna malalamiko yaliyowahi kutolewa kuhusu Azam TV na ubaguzi wa dini.Nilipeleka tangazo la pombe pale kwaajili ya kudhamini matangazo ya mechi za NBCPL na baadhi ya vipindi kwenye channel za Azam Sports 1 na UTV.
Mhusika akanijibu kuwa hawapokei matangazo ya pombe kwakuwa yanakiuka misingi ya kiimani hivyo wamiliki hawataki.
Sasa najiuliza je hao wamiliki kwao pombe ni haramu lakini muziki wa kidunia ni halali? Maana UTV inaweka nyimbo za hovyo na wasanii waliovaa vichupi, tangazo la Hotel Verde pia lina mdada kavaa chupi, je hayo ndiyo yanafaa kiimani?
Nitoe wito kwa wamiliki kuacha unafiki, kama wameamua kufuata maadili waachane na muziki, ndondi, movies za kipuuzi nk. Na kama wanaruhusu hayo waruhusu pia matangazo ya pombe.
ZBC Pia hii inawahusu.
Upendo Tv imo ndani ya Azam Tv na ili iwemo huwa kuna masharti yatimizwe.Wako sahihi ile ni private organisation kama ilivyo upendo tv wana maamuzi yao binafsi
Unazungumzia chuki auHujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.
Soma tenaUnazungumzia chuki au
Sijui kama ni kwasababu ya udini au laWamekukatalia labda wewe si muislamu mwenzao, mbona wanatangaza bia ya Serengeti, Kilimanjaro na nyinginezo. Pia mbona kuna mahubiri mengi tu ya kikristu na nyimbo pia, kama una kumbukumbu kuna malalamiko yaliyowahi kutolewa kuhusu Azam TV na ubaguzi wa dini.
Namimi sijasema kuwa hawako sahihi nimeuliza kuwa huyo mungu wao hataki pombe ila vichupi ni ruksa?Wako sahihi ile ni private organisation kama ilivyo upendo tv wana maamuzi yao binafsi
Zimo Post humu JF zikilalamikia udini Azam Tv, hata yamo madai yanayohusu ajira.Sijui kama ni kwasababu ya udini au la
Zipo sawa kichwani! Yaani akiacha kutangaza kombe la dunia hatapungukiwa kitu! Yaani Startimes atangaze na Azam aache bado watu wataangalia kusiko kombe la dunia?Hayo yote anayajua usimfundishe how to run his business, hivi unadhani akiacha kutangaza hilo kombe la dunia atapungukiwa chochote kwa upeo wako?
Sio lazima iwe dini, hizo ni values zao, sisi tunakosea kuhusianisha msimamo huo na dini.Unafiki ni jambo baya, na huo uislam unakemea hilo jambo.
Wao kama hawataki pombe waseme tu hatutaki wasijifiche kwenye mwamvuli wa dini, vinginsana wanafanya kwenye dini hairuhusiwi.
Dini haitaki double standard
Sijawahi kwenda msikitini bila boxer hata mara mojaSawa vaa boxer yako uende msikitini