Azam TV Acheni Unafiki: Chagueni moja

Anzishq TV yako na wewe uweke masharti mtu masikini halafu unaleta ujuaji ebo.
 
Bakhressa muache yule sio mwenzio
Hujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.
 
Hujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.
Sawa🙌
 
Wako sahihi ile ni private organisation kama ilivyo upendo tv wana maamuzi yao binafsi
 
Wamekukatalia labda wewe si muislamu mwenzao, mbona wanatangaza bia ya Serengeti, Kilimanjaro na nyinginezo. Pia mbona kuna mahubiri mengi tu ya kikristu na nyimbo pia, kama una kumbukumbu kuna malalamiko yaliyowahi kutolewa kuhusu Azam TV na ubaguzi wa dini.
 
Hujajibu swali, allah kawaamuru msiweke matangazo ya pombe lakini muweke matangazo ya wanawake waliovaa vichupi na kuweka nyimbo za bongo flavor zenye vibinti vidogo vilivyo uchi? Kama ndivyo basi allah ni mpumbavu.
Unazungumzia chuki au
 
Sijui kama ni kwasababu ya udini au la
 
Wako sahihi ile ni private organisation kama ilivyo upendo tv wana maamuzi yao binafsi
Namimi sijasema kuwa hawako sahihi nimeuliza kuwa huyo mungu wao hataki pombe ila vichupi ni ruksa?
 
Usilam unaweza kuwa hauna shida ila waislamu wengi ndio Kara ya watu wanaongosza Kwa unafiq
 
Hayo yote anayajua usimfundishe how to run his business, hivi unadhani akiacha kutangaza hilo kombe la dunia atapungukiwa chochote kwa upeo wako?
Zipo sawa kichwani! Yaani akiacha kutangaza kombe la dunia hatapungukiwa kitu! Yaani Startimes atangaze na Azam aache bado watu wataangalia kusiko kombe la dunia?
 
Unafiki ni jambo baya, na huo uislam unakemea hilo jambo.

Wao kama hawataki pombe waseme tu hatutaki wasijifiche kwenye mwamvuli wa dini, vinginsana wanafanya kwenye dini hairuhusiwi.

Dini haitaki double standard
Sio lazima iwe dini, hizo ni values zao, sisi tunakosea kuhusianisha msimamo huo na dini.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…