Azam TV badilisheni muda wa kuonesha Tamthilia ya ECILIA (SINOS DEJAN)

Azam TV badilisheni muda wa kuonesha Tamthilia ya ECILIA (SINOS DEJAN)

JAMANI SCENE KAMA HIZO ZINAONESHWA SAA MBILI KWELI JAMANI
nGdgoaSm5hoTyrEXk0fkPpXksvj.jpg
7WynxbTrzGTHFETLNgv95x2Ogpa.jpg
ilMiZsWmGBuJYMUosykpRijy9yr.jpg
 
MAONI YA WADAU

Nimejikuta nimezima tv nakawaambia muda wa kulala mwingine akadakia mama atujala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani nimejionea aibu


Kweli kabisaa haifai kutizama mbele ya watoto


Kiufupi azam tv anadhima kubwa katika maadili.

Umesema VZR Sana. Maana Kuna muda tunakuwa kazini Na Kwa uhalisia hatuna huo uzungu wa kusema unaweza kuwazuia watoto kuangalia tv au kuwawekea tv zao peke Yao. Tunashare matumizi hivyo Ni vyema tukawekewa tamthilia nyingine au hii iende Hadi saa tano angalau watakuwa wamelala
 
Kwahiyo saa mbili wewe huwa unakaa wapi?
Maana huo ni mud WAKULA chakula cha usiku na familia na Imezoeleka tv huwa on muda huo
Usiwajibu kuna watu humu hawajui hata maana ya family ni nini, watu wako busy siku nzima ni afya family kukaa pamoja na kuangalia vitu pamoja kama family inajenga sana family imara huku mkipata dinner sasa nashangaa mtu anasema unatizama picha na watoto. Sisi kabla ya hii mitandao wazee wetu walikuwa wanataka kila mtu wakati wa dinner awepo nyumbani kuna maana kubwa sana. Sipendi tabia ndani ya nyumba kila mtu yuko kivyake na simu kila jambo lina wakati ila lazima mtenge muda kama family kuwa pamoja na best time ni saa 2 mpaka saa 4 usiku.
 
Usiwajibu kuna watu humu hawajui hata maana ya family ni nini, watu wako busy siku nzima ni afya family kukaa pamoja na kuangalia vitu pamoja kama family inajenga sana family imara huku mkipata dinner sasa nashangaa mtu anasema unatizama picha na watoto. Sisi kabla ya hii mitandao wazee wetu walikuwa wanataka kila mtu wakati wa dinner awepo nyumbani kuna maana kubwa sana. Sipendi tabia ndani ya nyumba kila mtu yuko kivyake na simu kila jambo lina wakati ila lazima mtenge muda kama family kuwa pamoja na best time ni saa 2 mpaka saa 4 usiku.
Nimekuelewa baadhi ya watu wanaishi mifumo ya ajabu duniani.
 
Kwahiyo saa mbili wewe huwa unakaa wapi?
Maana huo ni mud WAKULA chakula cha usiku na familia na Imezoeleka tv huwa on muda huo
Unakulaje huku unaangalia TV!!??
Table manners huna ndio unalilia kulinda maadili yapi utakayokuwanayoo!!??
 
Tamthilia? Sijui mara ya mwisho kuangalia tamthilia ilikuwa lini.
 
Unakulaje huku unaangalia TV!!??
Table manners huna ndio unalilia kulinda maadili yapi utakayokuwanayoo!!??
Mzee tunawakilisha majority ya wabongo mambo ya table manners hayajulikani Imezoeleka pakulia ni ukumbini na msosi huiva saa mbili.
 
Usiwapangie azam muda wao kama vipi wekeni ITV mtazame taarifa ya habari
 
Back
Top Bottom