Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba angeuza bei kubwa kuliko sasa?Watanzania wengi hatungeweza kumudu
Mmmh..bara zima la afrika hapo nakupinga....DSTV inafanya kazi nchi zinazoongea haswa kingereza..DSTV haipo nchi za kiarabu..wana BEIN SPORT na haipo nchi wanazoongea kifaransa..kuna CANAL SPORTHawana hyo pesa
Dstv kanunua kwa ajili ya kuonesha kwenye bara zima la afrika
Wakati azam mitambo yake ipo east afrika tu
Acha uchawi,Azam kibongobongo anajitahidi sana,hakuna TV station bongo inayoweza kuonyesha ligi yetu kwa viwango na weledi kama Azam.Azam mechi za ligi tu zimemshinda anaonyesha picha hafifu na kamera uwanjani anaweka chache Sasa nani wa kumpa tenda hiyo
Angepewa rights yeye asingepeleka camera zake bali angekaa hapa Bongo na kupokea productions kutoka FIFA.Azam mechi za ligi tu zimemshinda anaonyesha picha hafifu na kamera uwanjani anaweka chache Sasa nani wa kumpa tenda hiyo
Wenye Azam kwa data za TCRA hata milioni moja hawafiki..sasa Azam huo uthubutu wa kununua haki za mashindano haya makubwa atatoa wapi na hata akijaribu hawezi kushinda..Dstv wamekaba sana huku kusini mwa jangwa la sahara.hailipi mkuu kiupande wao, wabongo hatuwezi kulipia kifurushi bei kubwa, na pia soko lake ni dogo, DSTV wamejitawanya nchi nyingi sana na ndio mana kwao inawalipa.
Bongo tunaambiwa population yetu ni milion 60, ila walioweka Azam ndani yamajumba yao ni wangapi? wengi wetu tunaishi kwa mabanda umiza tu.
Iko hivi, ili kupata haki/zabuni/tenda ya kurusha matangazo ya kombe la dunia au kombe lolote tu hata ligi za mataifa mengine ni lazima inaendeshwa mchakato na wanazingatia vigezo vingi.Moja wapo ni vifuatavyoJe, Azam TV hawana uwezo wa kifedha kuweza shinda kandarasi ya kuonesha Kombe la Dunia?
Ila DSTV inahudumia ukanda mkubwa kuliko Azam ndo hoja ya jamaaMmmh..bara zima la afrika hapo nakupinga....DSTV inafanya kazi nchi zinazoongea haswa kingereza..DSTV haipo nchi za kiarabu..wana BEIN SPORT na haipo nchi wanazoongea kifaransa..kuna CANAL SPORT