Iko hivi, ili kupata haki/zabuni/tenda ya kurusha matangazo ya kombe la dunia au kombe lolote tu hata ligi za mataifa mengine ni lazima inaendeshwa mchakato na wanazingatia vigezo vingi.Moja wapo ni vifuatavyo
1. Coverage/ TV yako inaangaliwa eneo au ukubwa gani?
2. Matangazo yao ambayo mataingia nao makubaliano katika mabunguzo ya mkataba huo yana faida gani kwao kulingana na eneo/Maeneo TV yako inapoonekana.
3. Ikiwa wazungumzaji wa eneo la coverage ya TV yako wanashabiana na lugha inayotumika kutanga ligi au kombe hilo
4. Ubora wa TV yako na record zako za nyuma?.
5. Idadi ya watu wanaotazamiwa kuangalia ligi hiyo
6. Political stability ya eneo husika(japo hiki kipengere ni cha zamani)
7. Record yako katika kuomesha mashindano mbali mbali
8. Gharama zao uweze kuzimudu.
Sasa here is the thing..
1. Azam ni mchanga zan kwa Mult choice (DSTV)
2. Dstv inakava Africa nzima wakati azam anafika Tz, uganda, kenya, Rwanda, Burundi, congo, na sasa naona anajipanua Sudani na central Africa
3. Katika nchi anazofik Azam wingi wa watazamaji sio kivile.
4. Dstv ni mkongwe na amekua akifanya vizuri kila wakati
5. Pia fedha wanayohitaji na mtaji wa Azam wameona kama bado hajakua sana.
Free ideas