Walianza kurusha live WC ya 942002 hiyo dah kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walianza kurusha live WC ya 942002 hiyo dah kitambo
Azam camera hafifu.. Wewe utakuwa mfanyakazi wa tbc au itv ni wivu tu
[emoji23][emoji23] umeongea utumboKama ameshindwa kupandisha content resolution kutoka 720p mpaka 1080 ataweza kurusha kombe la dunia.? Azam TV ni ya watu maskini na wavaa makobazi.😎
anzisha kampuni uoneshe wewe
Mashirika yabinafsishwage tuu, TBC ni aibu...Huyo snitch tu! Hajui hata Rwanda, Burundi na Uganda zote ligi zao zimeanza kuoneshwa kwenye tv baada ya azam kwenda uko! Anataka afananishe azam na nani hapa bongo tbc ya azuhuri???[emoji28]
Sundar majikoWakati wao wenyewe wanatumia tv zinaitwa sunder halafu wanawalaumu Azam
Tatizo lako unachoona Bora wewe unataka Kila mmoja akione Bora mkuu, haiwezi ikawa. Kila mwenye Akili timamu anajua resolution ya Azam ni mbovu.Acha uchawi,Azam kibongobongo anajitahidi sana,hakuna TV station bongo inayoweza kuonyesha ligi yetu kwa viwango na weledi kama Azam.
Kuhusu kombe la dunia huonyeshi bila kuwa na haki,kupata hiyo haki ni kazi
Yaani mashirika ya serikali yote yanazingua sana kwenye huduma, sijui wafanyakazi sio wazalendo yaani creativity zero!Mashirika yabinafsishwage tuu, TBC ni aibu...
Azam haoneshi tena ligi za hizo nchiHuyo snitch tu! Hajui hata Rwanda, Burundi na Uganda zote ligi zao zimeanza kuoneshwa kwenye tv baada ya azam kwenda uko! Anataka afananishe azam na nani hapa bongo tbc ya azuhuri???[emoji28]
hoja ilikuwa bara lote la africa, umeibuka na hoja nyingine. kwa kuwa wewe ni mjuaji unaweza kujijibu mwenyeweWamekidhi vigezo. Nitajie king'amuzi kinacho-operate katika nchi zaidi ya 16 africa
Kulinganisha ba tbc sioTatizo lako unachoona Bora wewe unataka Kila mmoja akione Bora mkuu, haiwezi ikawa. Kila mwenye Akili timamu anajua resolution ya Azam ni mbovu.
Hakuna biashara sio kwamba hana mtajiAzam haoneshi tena ligi za hizo nchi
HILO NDILO HASWA...Nadhani uwezo wa kushindana na kununua wanao....nadhani wametathmini hali ya soko na ushindani na gharama za kununua alafu ni jambo la muda mfupi wameona halina faida.......
Ni mtizamo wangu tu......
Ni kwamba... Wana uhakika wa mshahara bila kujali mauzo...Yaani mashirika ya serikali yote yanazingua sana kwenye huduma, sijui wafanyakazi sio wazalendo yaani creativity zero!