Azam TV haina uwezo wa kifedha kuonesha Kombe la Dunia?

Nadhani uwezo wa kushindana na kununua wanao....nadhani wametathmini hali ya soko na ushindani na gharama za kununua alafu ni jambo la muda mfupi wameona halina faida.......


Ni mtizamo wangu tu......
Azam TV hana hela za kupata hizo haki, pia hana miundombinu nchi nyingi
 
Asilimia 1
 
Maelezo mazuri sana
 
Mmmh..bara zima la afrika hapo nakupinga....DSTV inafanya kazi nchi zinazoongea haswa kingereza..DSTV haipo nchi za kiarabu..wana BEIN SPORT na haipo nchi wanazoongea kifaransa..kuna CANAL SPORT
Uko sahihi,hata watu wa Cable Tv Tz hawatumii DStv..........mi mwenyewe naangalia kupia App Football Live,siyo mechi za world cup tu bali ligi zote 5 kubwa
 
Je, Azam TV hawana uwezo wa kifedha kuweza shinda kandarasi ya kuonesha Kombe la Dunia?
Suala wala siyo Fedha

Mfano Kuna Vituo vikubwa kama

Sky sports,
BT sports
CBS sports
NBC sports,
Vyoote hivi hakuna hata kimoja kilichopata idhini ya kurusha World cup. Je na vyenyewe havina hela?

Kuwa na hela ni kitu kingine na kupata haki za matangazo ni kitu Kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…