hoja ni DSTV vs Azam sio Azam vs locals , kuwaburuza locals wenzio sio kibali cha kuonesha WCAcha uchawi,Azam kibongobongo anajitahidi sana,hakuna TV station bongo inayoweza kuonyesha ligi yetu kwa viwango na weledi kama Azam.
Kuhusu kombe la dunia huonyeshi bila kuwa na haki,kupata hiyo haki ni kazi
Azam camera hafifu.. Wewe utakuwa mfanyakazi wa tbc au itv ni wivu tuAzam mechi za ligi tu zimemshinda anaonyesha picha hafifu na kamera uwanjani anaweka chache Sasa nani wa kumpa tenda hiyo
Azam TV hana hela za kupata hizo haki, pia hana miundombinu nchi nyingiNadhani uwezo wa kushindana na kununua wanao....nadhani wametathmini hali ya soko na ushindani na gharama za kununua alafu ni jambo la muda mfupi wameona halina faida.......
Ni mtizamo wangu tu......
Asilimia 1hailipi mkuu kiupande wao, wabongo hatuwezi kulipia kifurushi bei kubwa, na pia soko lake ni dogo, DSTV wamejitawanya nchi nyingi sana na ndio mana kwao inawalipa.
Bongo tunaambiwa population yetu ni milion 60, ila walioweka Azam ndani yamajumba yao ni wangapi? wengi wetu tunaishi kwa mabanda umiza tu.
Asset And LiabilityHisabati ya faida na hasara...
Maelezo mazuri sanaIko hivi, ili kupata haki/zabuni/tenda ya kurusha matangazo ya kombe la dunia au kombe lolote tu hata ligi za mataifa mengine ni lazima inaendeshwa mchakato na wanazingatia vigezo vingi.Moja wapo ni vifuatavyo
1. Coverage/ TV yako inaangaliwa eneo au ukubwa gani?
2. Matangazo yao ambayo mataingia nao makubaliano katika mabunguzo ya mkataba huo yana faida gani kwao kulingana na eneo/Maeneo TV yako inapoonekana.
3. Ikiwa wazungumzaji wa eneo la coverage ya TV yako wanashabiana na lugha inayotumika kutanga ligi au kombe hilo
4. Ubora wa TV yako na record zako za nyuma?.
5. Idadi ya watu wanaotazamiwa kuangalia ligi hiyo
6. Political stability ya eneo husika(japo hiki kipengere ni cha zamani)
7. Record yako katika kuomesha mashindano mbali mbali
8. Gharama zao uweze kuzimudu.
Sasa here is the thing..
1. Azam ni mchanga zan kwa Mult choice (DSTV)
2. Dstv inakava Africa nzima wakati azam anafika Tz, uganda, kenya, Rwanda, Burundi, congo, na sasa naona anajipanua Sudani na central Africa
3. Katika nchi anazofik Azam wingi wa watazamaji sio kivile.
4. Dstv ni mkongwe na amekua akifanya vizuri kila wakati
5. Pia fedha wanayohitaji na mtaji wa Azam wameona kama bado hajakua sana.
Free ideas
Uko sahihi,hata watu wa Cable Tv Tz hawatumii DStv..........mi mwenyewe naangalia kupia App Football Live,siyo mechi za world cup tu bali ligi zote 5 kubwaMmmh..bara zima la afrika hapo nakupinga....DSTV inafanya kazi nchi zinazoongea haswa kingereza..DSTV haipo nchi za kiarabu..wana BEIN SPORT na haipo nchi wanazoongea kifaransa..kuna CANAL SPORT
bara zima la africa ilhali wanaoperate katika nchi 16 tu za africa?Hawana hyo pesa
Dstv kanunua kwa ajili ya kuonesha kwenye bara zima la afrika
Wakati azam mitambo yake ipo east afrika tu
Licence ya WC haitolewi hivyo,Azam ni local,dstv ni internationalhoja ni DSTV vs Azam sio Azam vs locals , kuwaburuza locals wenzio sio kibali cha kuonesha WC
anzisha kampuni uoneshe weweAzam ovyo kabisa
Wamekidhi vigezo. Nitajie king'amuzi kinacho-operate katika nchi zaidi ya 16 africabara zima la africa ilhali wanaoperate katika nchi 16 tu za africa?
source: Our Markets – The MultiChoice Group
CanalWamekidhi vigezo. Nitajie king'amuzi kinacho-operate katika nchi zaidi ya 16 africa
Suala wala siyo FedhaJe, Azam TV hawana uwezo wa kifedha kuweza shinda kandarasi ya kuonesha Kombe la Dunia?
Sky sports na wao hawajapata haki ya kurusha kombe la Dunia ,, Je na wao pia hawana hela?SEMA it's a shame yaan wameshndwa KUNUNUA haki za matangazo dahhh
Basi Kama kwako huo ndiyo ubora basi poleAcha uchawi,Azam kibongobongo anajitahidi sana,hakuna TV station bongo inayoweza kuonyesha ligi yetu kwa viwango na weledi kama Azam.
Kuhusu kombe la dunia huonyeshi bila kuwa na haki,kupata hiyo haki ni kazi
Kama ameshindwa kupandisha content resolution kutoka 720p mpaka 1080p ataweza kurusha kombe la dunia.? Azam TV ni ya watu maskini na wavaa makobazi.😎Je, Azam TV hawana uwezo wa kifedha kuweza shinda kandarasi ya kuonesha Kombe la Dunia?