Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Sasa kwani unadhani mitambo itachukuaje matangazo kwenyeUkipewa leseni haupeleki Camera quatar..kampuni iliyoshinda tenda ya kufunga Camera ni moja tu na kutokea hapo vituo vyote Duniani vinachukua matangazo
Mkuu umemaliza Kila kitu. Uzi ufungwe SasaKama ameshindwa kupandisha content resolution kutoka 720p mpaka 1080 ataweza kurusha kombe la dunia.? Azam TV ni ya watu maskini na wavaa makobazi.😎
Hebu ielezee na TBC kidogo!Iko hivi, ili kupata haki/zabuni/tenda ya kurusha matangazo ya kombe la dunia au kombe lolote tu hata ligi za mataifa mengine ni lazima inaendeshwa mchakato na wanazingatia vigezo vingi.Moja wapo ni vifuatavyo
1. Coverage/ TV yako inaangaliwa eneo au ukubwa gani?
2. Matangazo yao ambayo mataingia nao makubaliano katika mabunguzo ya mkataba huo yana faida gani kwao kulingana na eneo/Maeneo TV yako inapoonekana.
3. Ikiwa wazungumzaji wa eneo la coverage ya TV yako wanashabiana na lugha inayotumika kutanga ligi au kombe hilo
4. Ubora wa TV yako na record zako za nyuma?.
5. Idadi ya watu wanaotazamiwa kuangalia ligi hiyo
6. Political stability ya eneo husika(japo hiki kipengere ni cha zamani)
7. Record yako katika kuomesha mashindano mbali mbali
8. Gharama zao uweze kuzimudu.
Sasa here is the thing..
1. Azam ni mchanga zan kwa Mult choice (DSTV)
2. Dstv inakava Africa nzima wakati azam anafika Tz, uganda, kenya, Rwanda, Burundi, congo, na sasa naona anajipanua Sudani na central Africa
3. Katika nchi anazofik Azam wingi wa watazamaji sio kivile.
4. Dstv ni mkongwe na amekua akifanya vizuri kila wakati
5. Pia fedha wanayohitaji na mtaji wa Azam wameona kama bado hajakua sana.
Free ideas
Mie mpaka nikawa nashangaa hawa watu wanamatatizo Gani?Kuna mechi za hivi karibuni kashindwa kuonesha ..camera zishakuwa kimeo waendelee kuuza icecream tu na mikate
Ukielewa maana ya neno FTA hauta uliza uliza tenaTB
Hebu ielezee na TBC kidogo!
Majanga[emoji1][emoji1]Hebu ielezee na TBC kidogo!
Huyo snitch tu! Hajui hata Rwanda, Burundi na Uganda zote ligi zao zimeanza kuoneshwa kwenye tv baada ya azam kwenda uko! Anataka afananishe azam na nani hapa bongo tbc ya azuhuri???[emoji28]Acha uchawi,Azam kibongobongo anajitahidi sana,hakuna TV station bongo inayoweza kuonyesha ligi yetu kwa viwango na weledi kama Azam.
Kuhusu kombe la dunia huonyeshi bila kuwa na haki,kupata hiyo haki ni kazi
Cha ajabu hao canal sport wamechukua channel za supersport kuonesha kombe hiliMmmh..bara zima la afrika hapo nakupinga....DSTV inafanya kazi nchi zinazoongea haswa kingereza..DSTV haipo nchi za kiarabu..wana BEIN SPORT na haipo nchi wanazoongea kifaransa..kuna CANAL SPORT
DStv bara Zima? Acha uongo weweHawana hyo pesa
Dstv kanunua kwa ajili ya kuonesha kwenye bara zima la afrika
Wakati azam mitambo yake ipo east afrika tu
Bhange hizi umeandikaAzam mechi za ligi tu zimemshinda anaonyesha picha hafifu na kamera uwanjani anaweka chache Sasa nani wa kumpa tenda hiyo
Azam anafanya biashara na angenunua hizo haki pesa yake isingerudiSEMA it's a shame yaan wameshndwa KUNUNUA haki za matangazo dahhh
Vipi kuhusu La liga na bundes?Azam wanaweza kushinda zabuni ya Ligi kuu Bara pekee!
Ni pesa kiasi gani vile mtu kushinda hiyo kandarasi?Azam TV hana hela za kupata hizo haki, pia hana miundombinu nchi nyingi
Namba 2 nakupinga, Dstv haipo afrika nzimaIko hivi, ili kupata haki/zabuni/tenda ya kurusha matangazo ya kombe la dunia au kombe lolote tu hata ligi za mataifa mengine ni lazima inaendeshwa mchakato na wanazingatia vigezo vingi.Moja wapo ni vifuatavyo
1. Coverage/ TV yako inaangaliwa eneo au ukubwa gani?
2. Matangazo yao ambayo mataingia nao makubaliano katika mabunguzo ya mkataba huo yana faida gani kwao kulingana na eneo/Maeneo TV yako inapoonekana.
3. Ikiwa wazungumzaji wa eneo la coverage ya TV yako wanashabiana na lugha inayotumika kutanga ligi au kombe hilo
4. Ubora wa TV yako na record zako za nyuma?.
5. Idadi ya watu wanaotazamiwa kuangalia ligi hiyo
6. Political stability ya eneo husika(japo hiki kipengere ni cha zamani)
7. Record yako katika kuomesha mashindano mbali mbali
8. Gharama zao uweze kuzimudu.
Sasa here is the thing..
1. Azam ni mchanga zan kwa Mult choice (DSTV)
2. Dstv inakava Africa nzima wakati azam anafika Tz, uganda, kenya, Rwanda, Burundi, congo, na sasa naona anajipanua Sudani na central Africa
3. Katika nchi anazofik Azam wingi wa watazamaji sio kivile.
4. Dstv ni mkongwe na amekua akifanya vizuri kila wakati
5. Pia fedha wanayohitaji na mtaji wa Azam wameona kama bado hajakua sana.
Free ideas
Chuki ni kidonda ukishiriki lazima ukondeKama ameshindwa kupandisha content resolution kutoka 720p mpaka 1080 ataweza kurusha kombe la dunia.? Azam TV ni ya watu maskini na wavaa makobazi.😎
Wakiongeza bei ya vifurushi mnalialia. Wabongo tunapenda vitu vizuri pasipo kugharamia. Angenunua hizo haki akapandisha bei mngepiga kelele balaa.Azam ovyo kabisa
Wabongo tuna chuki sana aisee. Wanamponda wanasahau walau siku hizi watu wanaona mechi za ligi ila bado wanasema eti ana camera zina quality mbovuWabongo bwana aisee hizi chuki sijui zinatoka wapi
We itakua tv yako mbovu Kaa kimya wakikusikia watakuchekaAzam mechi za ligi tu zimemshinda anaonyesha picha hafifu na kamera uwanjani anaweka chache Sasa nani wa kumpa tenda hiyo
2002 hiyo dah kitamboItv kipindi cha nyuma walikuwa wanarusha live
Wakati wao wenyewe wanatumia tv zinaitwa sunder halafu wanawalaumu AzamWabongo tuna chuki sana aisee. Wanamponda wanasahau walau siku hizi watu wanaona mechi za ligi ila bado wanasema eti ana camera zina quality mbovu
Waonyeshe unbeaten za yangaAzam wanaweza kushinda zabuni ya Ligi kuu Bara pekee!