Emanuel Alfred
New Member
- May 11, 2024
- 3
- 5
Azam tv kwema,
Hamtutendei haki watumiaji wa visimbuzi vya antena tunalipa gharama sawa na watumiaji wa dish lkn channel za antena nichache embu ziongezeni na pia hamtutendei haki wateja wenu kwa kuongeza gharama za vifurushi vyenu tunaomba mfanyie kazi maoni ya wateja wenu mfano startime ligi kama za laliga bundasliga na Seria a zinaonyeshwa kwa kifurushi Cha sh 17000/ but Azam mnaonyesha ligi hizohizo kwa sh 28000 niuonevu kwa wateja wenu tunaomba mshushe bei zenu.
Pia soma:
Hamtutendei haki watumiaji wa visimbuzi vya antena tunalipa gharama sawa na watumiaji wa dish lkn channel za antena nichache embu ziongezeni na pia hamtutendei haki wateja wenu kwa kuongeza gharama za vifurushi vyenu tunaomba mfanyie kazi maoni ya wateja wenu mfano startime ligi kama za laliga bundasliga na Seria a zinaonyeshwa kwa kifurushi Cha sh 17000/ but Azam mnaonyesha ligi hizohizo kwa sh 28000 niuonevu kwa wateja wenu tunaomba mshushe bei zenu.
Pia soma: