NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Kwa Nini Azam wanafuta wakati ni ukweli mtupuWachuje ili iweje? Kama mnaona mayele anawachafua basi jisafisheni kutumia azam hiyohiyo, na clouds waliwachafua kwa kumuhoji feisal
Mmewaomba wafuteKwa Nini Azam wanafuta wakati ni ukweli mtupu
Sasa wewe si ndiyo unatetea upuuziKwahy na ww tena unaniuliza swali.?
Kwenye kufuta kuna mambo mengi ndani yake ila sio kwamba kilichoongelewa n uongo, na ht kama ni uongo bc huo uongo n kutoka kwa mayele na sio Azam. Yanga waache kuwafanyia unyama wachezaji wao.
Ujue Yanga atambana Azam kumtaka kufuta content zote zinazomchafua kwa sababu Azam ndie mshirika wake tofauti na media zingine wao wanarusha tuu.Wachuje ili iweje? Kama mnaona mayele anawachafua basi jisafisheni kutumia azam hiyohiyo, na clouds waliwachafua kwa kumuhoji feisal
AiseeeSasa wewe si ndiyo unatetea upuuzi
Muuliza maswali hakuwa professional, alikuwa anaonekana kumuongoza Mayele kuongea aliyoyaongea, hivyo Mayele kuonekana kama vile anatumika tu.Kama mahojiano hayavunji sheria zozote za nchi hakuna sababu ya kuyafuta.
Azam ni chombo cha habari, kazi yake ni kuripoti tu. Maoni ya Mayele ni ya kwake, asipoyatoa kupitia Azam media anaweza kuyatoa kupitia chombo kingine chochote cha habari. Sio jukumu la Azam media kurusha habari zenye kuwafurahisha tu Yanga, hata za kuwakera zinapaswa kuruka hewani.
Wameifuta? Mbona tunayo katika simu zetu, hebu jibu swali uliloulizwa.Kama ni kweli kwa nini wanafuta?!
Mimi nazungumzia digital platform za Azam tv siongelei simu yako MZEE.Wameifuta? Mbona tunayo katika simu zetu, hebu jibu swali uliloulizwa.
mkuu nitumie hiyo clip.Wameifuta? Mbona tunayo katika simu zetu, hebu jibu swali uliloulizwa.
Haina TOFAUTI na interview ya Feisal Salumu alipofanyiwa na masudi kipanyaMuuliza maswali hakuwa professional, alikuwa anaonekana kumuongoza Mayele kuongea aliyoyaongea, hivyo Mayele kuonekana kama vile anatumika tu.
Kwa hiyo tuliyo nayo ni feki?Mimi nazungumzia digital platform za Azam tv siongelei simu yako MZEE.
Mm nataka kujua, alichoongea mayele ni kweli au uongo.?Mimi nazungumzia digital platform za Azam tv siongelei simu yako MZEE.
Unazungumzia kampuni ya Azam au wafanyakazi wa Azam.?Azam wana chuki kali kwa Yanga