NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #81
Sasa Kama yupo sahihi KWA alichokizungumza KWA Nini kimefutwa?!Kama kuna mchawi anaefanya hivyo kwa wachezaji wanaoondoka Yanga kuwaumiza aache aisee...inawezekana anafanya bila consent ya club kama club ila kwa chuki zake tuu kwa wachezaji wanaoamua kuondoka na mahaba yaliyopitiliza kwa Yanga..ajue anaichafua hyo club..mtu kama Mayele mpk aseme hivyo kila siku ujue kuna kitu kinamla moyoni mwake..