AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.

Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
 
Watakuwa wamekosa Kazi
Warushe mtu asie na Staha anaye Ropoka hovyo kama toto
Wana mengi yakufanya waache
Mbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.
1. Karuhusu kampeni za kitanda kwa kitanda..
2.Kasema naye damu bado inaruhusu hivyo basi anahitaji mpenzi mpya...tumeona fadhila aliyotoa kwa mama aliyekuwa anashida ya kiwanja.Yeye anawaza ngono tu mda woote
3.....Niendelee?
 
Huu sio mpira, mambo ya kubet peleka huko, kama hamna pesa shauri yenu, msubiri Taarifa ya habari watawatangaza.
Kumbe wewe ni CCM. Wazungu walisema never argue with......Kumbe napoteza mda wangu hapa.
 
Wala usijali mkuu, ataonekana kwenye taarifa ya habari free of charge
 
Mbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.
1. Karuhusu kampeni za kitanda kwa kitanda..
2.Kasema naye damu bado inaruhusu hivyo basi anahitaji mpenzi mpya...tumeona fadhila aliyotoa kwa mama aliyekuwa anashida ya kiwanja.Yeye anawaza ngono tu mda woote
3.....Niendelee?
Endelea na Mbona zako
Ulisikia lini Azam wakaombwa kurusha Live kwa Magufuli
Kazi mnayo
Na huyo Msaliti wenu AkA Jinsia moja
 
Back
Top Bottom