AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

Endelea na Mbona zako
Ulisikia lini Azam wakaombwa kurusha Live kwa Magufuli
Kazi mnayo
Na huyo Msaliti wenu AkA Jinsia moja
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza...Kumbe wewe ni mwanalumumba.Pole sio kosa lako.Wengi wenu mnadandia treni kwa mbele na ndio maana siku zote mnaonekana vituko mbele ya jamii kama wale vijana waliokodishwa leo kutoka mtaani na vyuoni kumshangilia Mgombea wa CCM na wakawakera viongozi wenu (Wengi wao inaonekana walikuwa wameonja viroba).Ilibakia kidogo tu Jiwe awatimue kama isingekuwa busara za katibu wenu kuwatuliza mapema
 
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM. Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
Mpunga wanao wa kurusha masaa 3 , unafikir air time ni bure
 
Mbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.
1. Karuhusu kampeni za kitanda kwa kitanda..
2.Kasema naye damu bado inaruhusu hivyo basi anahitaji mpenzi mpya...tumeona fadhila aliyotoa kwa mama aliyekuwa anashida ya kiwanja.Yeye anawaza ngono tu mda woote
3.....Niendelee?
Kwa mifano ya Ngono ngono mjomba hua vzr sana
 
Mimi ni CCM ila nawaonea huruma after 5yrs watapata shida sana kwani tuko vipande fulani hivi yaani mtu anaona asipojipendekeza hapati mlo wake sahihi.Hatujazoea kufanya vitu bila upendeleo sasa hatakapokuja Rais mwingine hana hayo mambo CCM na washabiki wake watasinyaaa jumps.Azam hapo anawalinda kitumbua na sio professionalism ya habari kuwa usinipangia narusha habari ya nani douuii
 
Kumbe wewe ni CCM. Wazungu walisema never argue with......Kumbe napoteza mda wangu hapa.
Kuna vyama vimechukua fomu jana mbona hulalamiki havikurushwa hewani, lipa pesa urushwe, huna subiri Taarifa ya habari na tuvipisi kwenye youtube.
 
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.

Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.

Hahaha asubutuuuuu yao
 
Hakuna chombo Cha habari kinachojielewa Tanzania kikapoteza muda wake kwa huyo mgonjwa wa akili mpaka mwili labda vya mabwana wake(mabeberu)
FB_IMG_15917747988552743.jpg
 
Mimi ni CCM ila nawaonea huruma after 5yrs watapata shida sana kwani tuko vipande fulani hivi yaani mtu anaona asipojipendekeza hapati mlo wake sahihi.Hatujazoea kufanya vitu bila upendeleo sasa hatakapokuja Rais mwingine hana hayo mambo CCM na washabiki wake watasinyaaa jumps.Azam hapo anawalinda kitumbua na sio professionalism ya habari kuwa usinipangia narusha habari ya nani douuii
Pesa, lipa urushwe hakuna cha bure, hata professional yoyote hafanyi kazi bila malipo. Yaani uchukue mitambo na wafanyakazi waende pale bure? Subiri Taarifa ya habari kama huna pesa
 
Azam wako makini sana, huwezi kurusha mbashara matangazo ya mtu anahamasisha maandamano .

Eti mgombea urais wa chadema awe na uwezo wakuhamasisha watu kuingia barabarani.
 
Kama suala ni malipo, vipi upendo TV ionyeshe matangazo hayo huku Imani TV hawaonyeshi?
 
Mleta mada acha kuwafokea Azam utadhani ulimchangia Bakharesa kuinvest.
 
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.

Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
We kweli huna akili Azam TV ni kituo cha mtu binafsi unawapangia matumizi ya ofic je kama ccm wamenunua air time je
 
We kweli huna akili Azam TV ni kituo cha mtu binafsi unawapangia matumizi ya ofic je kama ccm wamenunua air time je
Je Kama Chadema wameomba kulipia Air time wakaambiwa siku hiyo Programme ziko full booked?
 
Back
Top Bottom