AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

AZAM TV kama mlivyoonekana leo live zaidi ya saa 3 na 8 August, 2020 Lissu akija hapo tuwaone live

Bado ni Mali ya mtu huwezi kulazimisha
Naona sasa umeanza kuelewa nini maana ya kichwa cha habari hii. Wasilete upuuzi na upendeleo kwani wao wanaangaliwa na watu wa vyama vyoote.
 
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.

Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.

Unataka mungu wa chato awabambikie kesi au kodi?
 
Back
Top Bottom