I can bet CCM hawajalipa hata Cent moja AZAM....Usifikiri wanarusha bure
CHADEMA watawaita bila malipo?Usifikiri wanarusha bure
Huu sio mpira, mambo ya kubet peleka huko, kama hamna pesa shauri yenu, msubiri Taarifa ya habari watawatangaza.I can bet CCM hawajalipa hata Cent moja AZAM....
Kwa ajili ya Taarifa ya habariCHADEMA watawaita bila malipo?
Mbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.Watakuwa wamekosa Kazi
Warushe mtu asie na Staha anaye Ropoka hovyo kama toto
Wana mengi yakufanya waache
Kumbe wewe ni CCM. Wazungu walisema never argue with......Kumbe napoteza mda wangu hapa.Huu sio mpira, mambo ya kubet peleka huko, kama hamna pesa shauri yenu, msubiri Taarifa ya habari watawatangaza.
Kwa hiyo azam ni sisiem kama wewe na muenezi?Watakuwa wamekosa Kazi
Warushe mtu asie na Staha anaye Ropoka hovyo kama toto
Wana mengi yakufanya waache
Endelea na Mbona zakoMbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.
1. Karuhusu kampeni za kitanda kwa kitanda..
2.Kasema naye damu bado inaruhusu hivyo basi anahitaji mpenzi mpya...tumeona fadhila aliyotoa kwa mama aliyekuwa anashida ya kiwanja.Yeye anawaza ngono tu mda woote
3.....Niendelee?
Punguza jazba mataga.Watakuwa wamekosa Kazi
Warushe mtu asie na Staha anaye Ropoka hovyo kama toto
Wana mengi yakufanya waache
Hilo Umesema weweKwa hiyo azam ni sisiem kama wewe na muenezi?
UnaotaPunguza jazba mataga.
Umepanic mataga.Unaota
Punguza chuki mkuu...maandishi yako yanakupambanua dhahiri wewe ni mfuasi wa rangi ya kijani.Hilo Umesema wewe