Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza...Kumbe wewe ni mwanalumumba.Pole sio kosa lako.Wengi wenu mnadandia treni kwa mbele na ndio maana siku zote mnaonekana vituko mbele ya jamii kama wale vijana waliokodishwa leo kutoka mtaani na vyuoni kumshangilia Mgombea wa CCM na wakawakera viongozi wenu (Wengi wao inaonekana walikuwa wameonja viroba).Ilibakia kidogo tu Jiwe awatimue kama isingekuwa busara za katibu wenu kuwatuliza mapemaEndelea na Mbona zako
Ulisikia lini Azam wakaombwa kurusha Live kwa Magufuli
Kazi mnayo
Na huyo Msaliti wenu AkA Jinsia moja
Mpunga wanao wa kurusha masaa 3 , unafikir air time ni burePamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM. Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
Barakoa inafanana na titi 1 lililokatwa la mtu mmoja hivi ninayemfahamu.Watakuwa wamekosa Kazi
Warushe mtu asie na Staha anaye Ropoka hovyo kama toto
Wana mengi yakufanya waache
Kwa mifano ya Ngono ngono mjomba hua vzr sanaMbona leo wamemrusha mropokaji maarufu.
1. Karuhusu kampeni za kitanda kwa kitanda..
2.Kasema naye damu bado inaruhusu hivyo basi anahitaji mpenzi mpya...tumeona fadhila aliyotoa kwa mama aliyekuwa anashida ya kiwanja.Yeye anawaza ngono tu mda woote
3.....Niendelee?
Kuna vyama vimechukua fomu jana mbona hulalamiki havikurushwa hewani, lipa pesa urushwe, huna subiri Taarifa ya habari na tuvipisi kwenye youtube.Kumbe wewe ni CCM. Wazungu walisema never argue with......Kumbe napoteza mda wangu hapa.
Pamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.
Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
Pesa, lipa urushwe hakuna cha bure, hata professional yoyote hafanyi kazi bila malipo. Yaani uchukue mitambo na wafanyakazi waende pale bure? Subiri Taarifa ya habari kama huna pesaMimi ni CCM ila nawaonea huruma after 5yrs watapata shida sana kwani tuko vipande fulani hivi yaani mtu anaona asipojipendekeza hapati mlo wake sahihi.Hatujazoea kufanya vitu bila upendeleo sasa hatakapokuja Rais mwingine hana hayo mambo CCM na washabiki wake watasinyaaa jumps.Azam hapo anawalinda kitumbua na sio professionalism ya habari kuwa usinipangia narusha habari ya nani douuii
Dada Kennedy nakusalimu.Nani Mjinga
Hajui kiingereza huyo.Kumbe wewe ni CCM. Wazungu walisema never argue with......Kumbe napoteza mda wangu hapa.
Usifikiri wanarusha bure
Wasiliana na Azam watakupa gharama zaoNaomba mchanganuo wa gharama tafadhali airtime ya masaa manne ni kiasi gani...!
Nipo tayari kulipia...
We kweli huna akili Azam TV ni kituo cha mtu binafsi unawapangia matumizi ya ofic je kama ccm wamenunua air time jePamoja na mitambo kukata kata..bado AZAM TV mmeendelea kurusha picha zisizoonekana vizuri ili mradi lengo lenu la kumrusha Mubashara Mgombea wa CCM.
Tunaomba mfanye hivi pia siku ya Jumamosi atakapokuja kuchukua fomu mgombea wa chama kikuuu cha upinzani.
Je Kama Chadema wameomba kulipia Air time wakaambiwa siku hiyo Programme ziko full booked?We kweli huna akili Azam TV ni kituo cha mtu binafsi unawapangia matumizi ya ofic je kama ccm wamenunua air time je