Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,390
Taarifa zilizotangazwa jana katika kikao cha ndani ya management hasa kitengo cha sports ni kuwa Azam haitarusha mechi hata moja ya ligi kuu baada ya Vodacom kutoendelea na udhamini kisha kuchukuliwa na wauza pombe TBL ambapo Policy ya Azam ni kutorusha aina yoyote ya pombe.
pia kikao hicho kimetoa pendekezo la kuiondoa timu ya Azam katika ligi hiyo.
Pole wenye vingamuzi vya azam
Updates:
AZAM TV WAMEKANUSHA HABARI HIZI.Kupitia hapo=Tido Mhando: Azam TV itarushwa mechi za ligi kuu
Anayosema Tido ni kinyume na yaliyojadiliwa kwenye kikao juu ya Sera yao kuwa kinyume na wadhamini wapya ambalo Tido halisemi.Akiwa mbishi zaidi tutafunguka zaidi.
Asante
pia kikao hicho kimetoa pendekezo la kuiondoa timu ya Azam katika ligi hiyo.
Pole wenye vingamuzi vya azam
Updates:
AZAM TV WAMEKANUSHA HABARI HIZI.Kupitia hapo=Tido Mhando: Azam TV itarushwa mechi za ligi kuu
Anayosema Tido ni kinyume na yaliyojadiliwa kwenye kikao juu ya Sera yao kuwa kinyume na wadhamini wapya ambalo Tido halisemi.Akiwa mbishi zaidi tutafunguka zaidi.
Asante