Azam Tv kutoonesha Ligi kuu Tz bara msimu ujao

Wanaona Pombe Ni Dhambi Wakati Nao Ni Wadhambi Tu. Lini Walikuwa Ni Watakatifu Kama Si Unafiki? Wanaogopa Tope Wakati Wanakanyaga Udongo

Hiyo tweet haijataja DHAMBI wala UTAKATIFU.... wewe umeyatoa wapi hayo?
 
Tatizo kubwa la wafanyabiashara wa tanzania ndio maana hatuendelei
1. Unakuta mtu amefunga yeye kwa imani yake iwe lakini analazimisha watu ambao sio wa imani yake nao wafunge pale anapokuwa mtoa huduma wa biashara ya chakula anafunga hoteli mwezi mzima

2. Unakuta mtu anatoa huduma fulani na ana imani fulani labda jumamosi unakuta anafunga duka siku nzima. Sasa hao wateja watakuwa wanakusubiria wewe tu sehemu ambayo wanakuja mara umefunga mara umefungua kwa imani zako?

3. Kwani hao wanaojifanya hawarushi matangazo kisa kampuni ya pombe inadhamini kwani ni malaika hawatendi dhambi yoyote? na barabara zinazojengwa kwa kodi ya hizo pombe mbona wanazitumia?
 
kama yanga waliweza kukataa logo ya mzamini... nazani na hawa wanaweza fanikiwa
 
kama yanga waliweza kukataa logo ya mzamini... nazani na hawa wanaweza fanikiwa
Hii nchi ya ajabu sana naona ndio waliowanyong'onyesha voda by the way kwa lile tukio tu ingibidi yanga watolelewe kwenye ligi akili ingekaa sawa by the way dstv soon anachukua yeye si ndio alikuwa mshindani wa azam
 
kwa hyo kufunga duka j2 ni sawa!!?..kama wanatenda dhambi moja unataka waongeze zingine!?
 
Hii nchi ya ajabu sana naona ndio waliowanyong'onyesha voda by the way kwa lile tukio tu ingibidi yanga watolelewe kwenye ligi akili ingekaa sawa by the way dstv soon anachukua yeye si ndio alikuwa mshindani wa azam
eb ngoja tuone... maana ukienda ktk kinyang'anyiro bila mshindani ina maana wewe una enda shindana na wenye shida (TFF)... hivyo una kuwa na sauti kuliko wao... ebu ngoja tuone... tutapata majibu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…