Azam Tv kutoonesha Ligi kuu Tz bara msimu ujao

Nimemsikia mkurugenzi wa Azam TV akikanusha habari hizi ana sema walisaini mkataba wa miaka 5
 
Kama kweli speed yao ni Nzuri ya kukataa kuongesha vitu vilivyo wavutia watu baada ya taarifa ya habari sasa ligi kuu hongereni sana
 
Waende tu mkuu. Dstv wapo tayar kuchukua matangazo yao. Zambia lig yao inaonyeshwa na Dstv. Azam waende tu. Unajua world cup ilidhaminiwa na Budweiser pombe ya kimarekan ambayo tayar imezinduliwa apa kwetu na hao hao tbl lakin azam mbona walikuwa wanaonyesha tu.
Waende tu tuwasahau na Dstv wachukue usukan. Najua na akina tido nao baada ya muda watasepa.
 
Updates:
AZAM TV WAMEKANUSHA HABARI HIZI.Kupitia hapo=Tido Mhando: Azam TV itarushwa mechi za ligi kuu

Anayosema Tido ni kinyume na yaliyojadiliwa kwenye kikao juu ya Sera yao kuwa kinyume na wadhamini wapya ambalo Tido halisemi.Akiwa mbishi zaidi tutafunguka zaidi.
Asante
 
hivi kwa nini supa spoti hawakupewa kuonyesha ligi kuu ya Tanzania??huu ujinga tunge epukana nao...
eti haonyeshi mechi kwa sababu hataki kutangaza bia,haya mbona mechi za simba na yanga anazigombania wakati wao wanatangaza kampuni ya kamali sport pesa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…