Azam Tv kutoonyesha Michuano ya Afcon 2022

Status
Not open for further replies.
Sawa lakini azam kama anashindwa kuonesha uefa walau afcon alitakiwa aoneshe yaani aweke mzigo apate haki za matangazo
Hela inayotolewa na Multichoice kuonesha EPL, UEFA, EUROPA ni kubwa kuliko utajiri Cash wa Azam.
 
Na tulio na ving'amuzi tumenunua kwa ajili ya ligi kuu,kwa style hii DSTV wataendelea kutukimbiza kwa vifurushi ,huwezi kuamini bongo tu vifurushi vya dstv ndo ghali Ila kwa nchi zingine bei kama za Azam tu
Siku wakifikisha subscribers 500K na wakapewa FTA watashusha bei
 
Hiyo ya kufunga HUO NI UMBEA NA UONGO WADANGANYE WASIO IJUA DSTV....NA PIA KAMA WEWE HUWEZ LIPIA HILO NI TATIZO LAKO...
UKWELI UTABAKI PALE PALE DSTV IKO VIZURI..na watu wananunua ving'amuzi na wanaendelea kuenjoy soka mubashara
 
Punguza uongo DStv bado yupo sana bongo
 
Azam hawajawahi kupata hiyo haki na hawewezi kwa kuwa huwa zinatolewa kwa Tv za Taifa husika, ndio maana wanarusha kupitia TVZ.

Vv
 
Na dstv wanakimbiza nchi nyingine tu ila kwa bongo wanapumulia mashine wana hali mbaya balaa, imefikia hatua azam anamzidi mara mbili bei ya king'amuzi
Sio kweli DStv wajanja kibiashara, wanashusha bei ya dishi wanakubana kwenye kulipia king'amuzi, ni kama walivyofanya makampuni ya simu, kutoa line bure wanakubana kwenye vocha na vifurushi
 
Sio kweli DStv wajanja kibiashara, wanashusha bei ya dishi wanakubana kwenye kulipia king'amuzi, ni kama walivyofanya makampuni ya simu, kutoa line bure wanakubana kwenye vocha na vifurushi
Sasa wanakubana vipi ikiwa unaweza kuweka ndani na usilipie?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…