Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

Hiki ndio nimekipenda, azam anafanya kaz nzuri ya kuleta thamani ya timu na league
 
Meko aliiba Trilioni moja.
 
Hii football industry ni kubwa Sana na vilabu kila kukicha wanalia juu ya Gharama za uendeshaji zipo juu Sana .
Sasa kwa Watu wa Taaluma ya Uchumi na Fedha wanaelewa ...
Hizi 225/225/200. Sawa na Chumvi Baharini🥱
 
Watoe uwaingize choo cha kiume, ukute huna hata 40,000 kwenye account kama balance afu unapayuka hapa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapuuzi hao wanapayuka tuu hata biashara ya vocha hawana na kama wanazo hawajielewi
 
Hii football industry ni kubwa Sana na vilabu kila kukicha wanalia juu ya Gharama za uendeshaji zipo juu Sana .
Sasa kwa Watu wa Taaluma ya Uchumi na Fedha wanaelewa ...
Hizi 225/225/200. Sawa na Chumvi Baharini🥱
Biashara haiendi hivi aisee, matatizo ya pesa hayamhusu Azam, kesho simba wakikopa Hela alipe Azam? Kesho kutwa Yanga wakisajili alipe Azam?

Wewe unachotakiwa kuleta ushahidi hapa ni kiasi gani azam anaingiza kupitia hio ligi.
 
Chama lenu la maccm limefukarisha watu unajifanya hujui? Hujui kwamba licha ya watu wengi kumiliki simu Takwimu za matumizi ya salio utashangaa.

Au nenda bank ukaokote vile vi bank statement utakuta salio kwa wengi hawazidi 200,000
 

Ni mpuuzi pekee atakubali kuwekeza pesa yake nyingi hivyo halafu angie mkataba wa miaka 3.

Kurusha matangazo ya mpira ni gharama kubwa sana, kuwa na facities pekee na uendeshaji wake sio fedha ndogo.
 
Miaka 10 mingi sana ingetakiwa iwe mkataba wa miaka 3 tenda ikatangazwa tena...yawezekana akaja mwekezaji akaweka Bil 32 mezan kwa mwaka......lakini huu ujinga wa kupiga msumari miaka 10 haufai....

Hata aje nani TFF atake kufanya mabadiliko yenye tija kwenye mkataba huo hawezi
 
Yanga na Simba ni Zaidi ya Fedha sasa tusipo yasema haya mapema tutaacha picha mbaya kwa vizazi vijacho[emoji736]
 
Merchant za klabu Pekee kwa Yanga na Simba Tayari ni Pesa kubwa Sana..
Angalia Simba Day.....
Mwananchi Day .........
Viingilio + Mauzo ya Product zao + Wauze haki yakuonyesha tu hizi Tamasha kwa Tv wanazo zitaka watapa Fedha kiasi Gani.??
 
Hivi Leo hii TFF INASHINDWA KUWA NA FACILITY ZA UKWELI KAMA UWANJA NA OFISI YENYE HADHI KAMA FEDERATION[emoji15][emoji15]
 
Hivi leo tumeshuhudia, TFF na AZAM wakiingia mkataba mnono wa kuonyesha ligi kwa kipindi cha miaka 10.

unaonekana ni mkataba mnono sana, lakini mimi kama mdau umeniacha kwenye maswali mengi sana, kwanini ni mkataba wa miaka 10? Miaka 10 ni mingi sana katika soko huria.

Inamaana hakuna washindani ambao wangeweka dongo nono zaidi mbele? au thamani ya ligi itabaki kama ilivyo kwa kipindi chote?

na hata kama hakuna washindani je wanauhakika gani ndani ya muda huo hakutakuwa na mshindani mwingine?

Binafsi naamini pamoja na unono wa kitita kilichotolewa na Azam lakini miaka 10 ni mingi sana hasa kwenye soko huria na kwenye maendeleo ya sayansi na teknologia.
 
Kwa jinsi waTz tulivyo hata Azam angeweka Trillion Bado wangelaumiwa, Naamini Kuna hasara nyingi tu Azam pia anazipata
Mihimu tu appreciate alichokitoa Azam

Baadhi ya mikoa anatumia huduma za mashirika mengine kurusha matangazo mfano uwanja wa Gwambina azam anatumia TCCL Kurusha matangazo ya mpirs ambapo wanalipa si chini ya 40m kwa game moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…