Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

Kuna matangazo ya makampuni mbalimbali wakati wa mechi.

Inampunguzia gharama za kuendesha.
 
Kuna matangazo ya makampuni mbalimbali wakati wa mechi.

Inampunguzia gharama za kuendesha.
hata kama kuna matangazo, kuna mechi kama moja nimeilink, mapato ya uwanjani ni laki 2, hizo hata zikioneshwa kwenye tv hakuna anaengalia, unategemea sponsor alipe kiasi gani?

ngoja nikupe mdadavuo wa bilioni 200
thamani ya simba ni bilioni 40 kama mo anatoa 20 sio, kama simba wana thamani hio Yanga hayupo mbali assume nae 40b, waliobakia wote hawafikii hata nusu ya hizo timu. bilioni 200 inaweza kununua vilabu vyote Tanzania, na change inabaki, hivyo no way ligi iwe na thamani hii.
 
Naungana na Azam TV! Imeweka pesa kubwa na kwa terms kama zinavyoainishwa ni win win situation kwa Ligi Kuu, Vilabu na Azam TV.

Imagine pamoja na Haki za Matangazo bado ana-facilitate na vilabu like bingwa kupewa pesa kiasi fulani. Still nasikia (Sina Hakika) Azam TV inampango wa kufunga taa za LED Lights katika viwanja vya Ligi Kuu kigezo ni vilabu ambavyo huwa na uhakika wa kusalia Ligi Kuu.

I stand with Azam TV on this.
 
watu wanatafuta pesa we unaleta habari za kusaidia.
 
DStv walikuwa na subscribers 400,000 wakati Azam walikuwa nao 200,000..
Startimes ndo walikuwa nao zaidi ya milioni..

Kama azam inawalipa why DStv isiwalipe?
Startimes je??
Hivi unazani dstv wamekatazwa kutia mpunga zaidi ya huo? Dstv ni ya zamani kuliko Azam sasa walikuwa wapi siku zote kuichukua ligi hadi azam aje aichukue?
 
Broo..kwa.mwaka kila.klabu zitapata bilioni 8 zote kwa pamoja ..ndio zitagawana..hio..pia Kuna waamuzi hapo hapo nk..pi
Kumbuka klabu pia zinapata pesa kutoka vodacom, pia tuelezeni kati ya wale biders nani alikuwa yupo tayari kutoa pesa zaidi ya hiyo?
 
Hii mambo ya YAWEZEKANA ACHANENI NAYO siku zote walikuwa wapi kuja? Tender ilivyotangazwa uliona hao biders?
 
Tumewazoea nyie kelele nyingi wakati uwezo wa kudhamini hata timu moja huna,hivi kweli dstv angekuja na hela hiyo akawaambia tff anaitaka ligi kwa miaka mitatu angenyimwa? Hivi mbona hamuwalalamikii wanachotoa vodacom kama wadhamini wakuu? Voda inampa bingwa 80m wakati azam anatoa 500m,
 
Mzee kwani hii ni tender ya kwanza kwenye soka kuwa ya miaka 10?

Anaongea utadhani ana pesaaa kumbe kiingilio kikiwa 10000 kwa mechi Hawa ndo waruka ukuta😁😁😁😁
 
Chama lenu la maccm limefukarisha watu unajifanya hujui? Hujui kwamba licha ya watu wengi kumiliki simu Takwimu za matumizi ya salio utashangaa.

Au nenda bank ukaokote vile vi bank statement utakuta salio kwa wengi hawazidi 200,000
Mimi na CCM tuna mahusiano gani?..mkuu mbona unanitukana mchana kweupe hivi?..Mimi ni CCM?,,aisee umenichefua sana.

Naomba uniombe msamaha tafadhali.
 
Acha ujinga, kwani ni Kazi ya Fff au Azam kutafuta nauli na gharama zingine za timu? Kama hazitoshi waambie wakatae afu wewe uwafadhili
 
Acha ujinga, kwani ni Kazi ya Fff au Azam kutafuta nauli na gharama zingine za timu? Kama hazitoshi waambie wakatae afu wewe uwafadhili
Soka haliwezi kuwa na ushindani kam vilabu vingne havina uwezo. Ndoman wachezaj wet wa kibongo tunalalamik viwango vina drop ni kwasbb ya mazngira ya timu wanazocheza
 
Acha kua ng'ombe
Wewe ndiye ng'ombe tena Maksai,thamani ya shilingi inaongezeka kila siku bill 225.6 ya mwaka huu siyo ya mwaka 2029/31 mpaka kufika kipindi hiko hao TFF watakuwa wanaokota machenji change tu hamna kitu.

Mwenye akili angewabana mikataba iwe ya muda mfupi ili kuendana na thamani ya shilingi wakati husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…