Hii ligi tukiendelea kwa mwendo huu baada ya miaka 5 tutagundua azam walitufanyia uhuni...........Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na Azam TV Limited kwa pamoja wameingia makubaliano ya kuonesha matangazo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa muda wa miaka 10 wenye thamani ya Shilingi bilioni 225.6.
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hiviKwa wale wanaoona ni pesa ndogo watuoshe macho kimahesabu
Ndio maana naona mitano ni sahihi ligi inaenda ikibadilika, anaweza tokea mwingine mwenye dau zuri zaidi kama ingeenda kwa miaka mitano.yeah lakini shida sasa hakuna competitor mwingine
Si mbaya, ajabu kuna tajiri bado anasita kutoa B 20 achukue 49%Kwa minajili hiyo ni Billion 22.56 kwa mwaka.
Siyo mbaya sana.
Kwa hiyo hela na Azam wakatoa hela hiyo tena kwa miaka 10 ujue wanapiga parefu sana.Kaka hata kwa hesabu ndogo kiasi gani hio sio pesa ndogo imagine simba ndio club yenye mkataba mnono kwa sasa na ana ana mkataba wa billion 2.5 per year toka vunja bei sasa chukua bilion 225 gawanya kwa mwaka unapata bilion 22.5.
Zigawe kwa vilabu 16 vitavocheza ligi kuu msimu ujao unapata karibia billion 1.5 kwa club asa unakuaje mkataba mdogo tena wenye kua na muda wa miaka 10 na ukizingatia ligi yetu kiuhalisia ni chenga na utopolo mtupu.
Tuwape hongera Azam kwa kutufikisha Hapa mwaka 2011 kurudi ulikua huwez hata kuona mechi yoyote bongo labda Simba na Yanga tena kwa low quality na nina uhakika tulikua hatuoni madudu ya marefa na ubovu was team za ligi ilikua ni ukanjanja mtupu kabla.
Azam media group wamefanya makubwa hata kua na team nzuri hata huo ubora simba na yanga wanajisifu nao Azam wamechangia pakubwa mno.
Ndicho nilikifikiria pia.hii ligi tukiendelea kwa mwendo huu baada ya miaka 5 tutagundua azam walitufanyia uhuni...........
mkataba ungekua ni wa 5 yrs, maana kufika 2025 nina imani ligi yetu itakua tajiri sana!
Kaka hata kwa hesabu ndogo kiasi gani hio sio pesa ndogo imagine simba ndio club yenye mkataba mnono kwa sasa na ana ana mkataba wa billion 2.5 per year toka vunja bei sasa chukua bilion 225 gawanya kwa mwaka unapata bilion 22.5.
Zigawe kwa vilabu 16 vitavocheza ligi kuu msimu ujao unapata karibia billion 1.5 kwa club asa unakuaje mkataba mdogo tena wenye kua na muda wa miaka 10 na ukizingatia ligi yetu kiuhalisia ni chenga na utopolo mtupu.
Tuwape hongera Azam kwa kutufikisha Hapa mwaka 2011 kurudi ulikua huwez hata kuona mechi yoyote bongo labda Simba na Yanga tena kwa low quality na nina uhakika tulikua hatuoni madudu ya marefa na ubovu was team za ligi ilikua ni ukanjanja mtupu kabla.
Azam media group wamefanya makubwa hata kua na team nzuri hata huo ubora simba na yanga wanajisifu nao Azam wamechangia pakubwa mno.
Sawa mkuu natoa dataNdogo compare to what? Toa data kufananisha na nchi zetu za Africa Mashariki na kati ili kuweza justify your argument.
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi
1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.
Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.
so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.
Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..
2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...
3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama yakulipia vifurushi itabaki constant (20k per month)..Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.
Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).
Wengine wataongezea.
Ukiambiwa ulipe mara 250 ndo uvunje mkataba wataweza?Wanaweza kuvunja lkn vigezo na Mashart kuzingatiwa!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Si mbaya,ajabu kuna tajiri bado anasita kutoa b 20 achukue 49%
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi
1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.
Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.
so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.
Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..
2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...
3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama yakulipia vifurushi itabaki constant (20k per month)..Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.
Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).
Wengine wataongezea.
Hesabu zako nzuri sana. Na walivyojipanga wameleta na ving'amuzi vya antenna. Wanaendelea kuzoa wateja. Tanzania nzima itafika muda wanaweza kuwa na wateja hai si chini ya mil 2-3.Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi
1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.
Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.
so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.
Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..
2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...
3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama yakulipia vifurushi itabaki constant (20k per month)..Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.
Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).
Wengine wataongezea.
TFF watazipiga saanaaKwa minajili hiyo ni Billion 22.56 kwa mwaka.
Siyo mbaya sana.
Bila shaka Azam TV wanapiga sana mpunga aise. Waliingia kwa kubip, sasa wanaingia mazimaMiaka kumi ni mingi thamani ya pesa nayo inashuka. Angalau ingekuwa mitano mitano tu inatosha.
Tunaweza kusema ni ndogo ila mkataba kabla ya huo ilikua 23Bln kwa 5 years so hela ya miaka 5 inapatikana kwa mwaka mmoja sio mbaya kwa kuanzia kadri ya muda thaman inapanda
Nb. Bingwa wa Vpl atapata 500Mln kama bonus kutoka kwa mdhamini so next contract ya Vodacom inabd wajipange
Ndogo compare to what? Toa data kufananisha na nchi zetu za Africa Mashariki na kati ili kuweza justify your argument.
Tena sio kidogo. Kutoka bil5 kwa miaka mitano hadi kukubali bil200+ kwa miaka 10. Aisee unaona hilo gape. Sasa pata picha washapiga hesabu wataingiza shingapi.Bila shaka Azam TV wanapiga sana mpunga aise. Waliingia kwa kubip, sasa wanaingia mazima
Hii deal serikali igome kuidhinisha, wapunguze miaka iwe 5Hesabu zako nzuri sana. Na walivyojipanga wameleta na ving'amuzi vya antenna. Wanaendlea kuzoa wateje. Tanzania nzima itafika muda wanaweza kuwa na wateja hai si chini ya mil 2-3.
Mwisho wa siku watapiga parefu sana. Caf tunapeleka team nne. Kama team hizi kubwa zitafanikisha mpango wa mabadiliko huenda tukaendelea kubaki na team nne caf. Utaona hapo na ushindani wa ligi kuu unazidi kuongezeka.
Miaka kumi ni mingi sana.
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi
1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.
Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.
so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.
Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..
2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...
3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama yakulipia vifurushi itabaki constant (20k per month)..Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.
Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).
Wengine wataongezea.