Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

Mpira ni ukezaji sio laziama utegemee za mdhamini watu wawekeze kwenye mpira
Upo sahihi ila watu tunajudge hiyo miaka 10 na ukizingatia kila siku bidhaa hiyo inaongezeka thamani pamoja na gharama za uendeshaji kwa vilabu, nafikiri wengi mnakimbilia kuangalia bonus kwa bingwa atapata nini na anaemfuatia na kwa mbaali yule mshindi wa tatu ambavyo bila shaka katika kipindi hicho cha miaka 10 timu 3 ambazo wote tunazifahamu uenda zikabadilishana tu nafasi hizo hizo karibia miaka 9 hivi kama sio miaka yote.
Vipi kwa zile timu zingine ndogo katika Ligi Kuu ambapo sio ajabu pesa hizo watakazo gaiwiwa ndo wakawa wanaingiza kama chanzo chao kikubwa cha mapato ukilinganisha na udhamini mwingine watakao kuwa nao kwasababu hizi timu zinakuwaga na wadhamini wachache ambao pia wanawapa dau kidogo au mara nyingine wanakosa kabisa wadhamini ukilinganisha na hao wakubwa?!
Ambao sio ajabu ukakuta kiasi cha pesa watakachopata plus na bonus hizo ukikiweka kwenye mzani unaweza kuta thamani yake inashika nafasi ya 3 na kuendelea katika chanzo cha mapato klabuni.
 
Hivi leo tumeshuhudia, TFF na AZAM wakiingia mkataba mnono wa kuonyesha ligi kwa kipindi cha miaka 10.

unaonekana ni mkataba mnono sana, lakini mimi kama mdau umeniacha kwenye maswali mengi sana, kwanini ni mkataba wa miaka 10? Miaka 10 ni mingi sana katika soko huria.

Inamaana hakuna washindani ambao wangeweka dongo nono zaidi mbele? au thamani ya ligi itabaki kama ilivyo kwa kipindi chote?

na hata kama hakuna washindani je wanauhakika gani ndani ya muda huo hakutakuwa na mshindani mwingine?

Binafsi naamini pamoja na unono wa kitita kilichotolewa na Azam lakini miaka 10 ni mingi sana hasa kwenye soko huria na kwenye maendeleo ya sayansi na teknologia.

Thamani ya ligi haitabaki hapo ndio sababu kila baada ya mika mi3 bonus itaongezeka kwa m200 kwa bingwa yaani na mwaka huu Azam watatoa Jumla ya Sh B8 kwa washiriki lakini mwakani watatoa B10 kwa washiriki na hii itaongezeka kila mwaka na ifikapo mwaka mwa mwisho wa mkataba Azam itatoa B20 kwa washiriki

Kabla ya kuhoji miaka 10 ijayo ambayo ina matumaini tujiulize
Mbona hatuulizi miaka 10 iliyopita ilikuwaje wakati ambao timu inasaji kwa milioni 400 mishahara na mengineyo zaidi ya m500 lakini inakuja kupata zawadi M80?
Angalau tuwapingeze Azam na TFF kwa hili
 
Tena pesa zitakuwa zinaongezeka kila siku na kila timu itapata kifuta machozi kulingana na nafasi kwenye msimamo.

Azam wanastahili pongezi ,ukata wa kulipa salary kwa wachezaji utakoma na maandalizi yataisha.

Pia wataboresha miundombinu ya viwanja na ubora wa matangazo.
 
Hatua nzuri lakini 10yrs ni mingi sana kwa hii mikataba.

Premier League wanafanya kwa mnada na ni kwa miaka 3. Halafu wanarudi tena kwenye mnada, kufunga mkataba wa miaka 10, labda kama wameweka vifungu vya kulinda pia thamani ya fedha. Hiyo hela baada ya miaka 10 inaweza kushuka thamani by 50%.
Usifananishe EPL na VPL
 
Kama ligi imewahi kutokuwa na mdhamini baada ya vodacom kujitoa ni heri Azam au vodacom wasaini na tff miaka hata 20 maana tumeona sio rahisi kihivyo kupata mdhamini au mnunua haki za kuonyesha ligi.
 
Turudi nyuma kwanza,kwa miaka kumi ya nyuma tff walishawai kupata mkataba wa pesa ndefu kama hizi?

Twende mbele sasa,tff kama wangesaini miaka michache wangekuwa na uhakika wa kupata mkataba mwingine mnono kutoka kwa Azam au mdhamini mwingine baada ya hiyo miaka michache ya mkataba kuisha?
 
Hii football industry ni kubwa Sana na vilabu kila kukicha wanalia juu ya Gharama za uendeshaji zipo juu Sana .
Sasa kwa Watu wa Taaluma ya Uchumi na Fedha wanaelewa ...
Hizi 225/225/200. Sawa na Chumvi Baharini🥱

Sio jukumu la azam kuziendesha timu wewe! Haki ya matangazo ni moja tu ya source ya kuipatia club mapato, timu zinapaswa kuwa na wadhamini wao na source zingine za mapato.
Azam wamejitahidi sana kutoa hela yamaana, ndiyo maana hutasikia timu itagoma kupokea hicho kiasi.
 
Ishu inakuja wamekaa na vilabu kukubaliana huo mkataba?
Unakubaliana na klabu ipi wakati zinapanda na kushuka? Mimi nataka kufahamu ni kampuni ipi iko tayari kutoa zaidi ya pesa hiyo kwa miaka 10?
 
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi

1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.

Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.

so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.

Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..

2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...

3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama ya kulipia vifurushi itabaki constant (20k per month).. Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.

Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).

Wengine wataongezea.
Wewe unaongelea sales

Ujaongelea growth profit

Ujaongelea net profit

Unajua kuwa kila channel iliyo ndani ya decoder ya Azzam inalipiwa?

Unaelewa kodi kiasi gani inalipiwa kwa kila bill ya mwezi ?

Myonge mnyogeni lakini haki yake mpeni

Wabongo mmekuwa mabingwa sana wa polojo lakini wengi wenu hampo kwenye industry ya mambo mnayoyapinga

Unakuta mtu upo serikalini hauna hata biashara ya laki 5 ila unaongelea biashara za watu wengine.

Mkataba upo wazi amesema kila mwaka atakuwa akiongeza bonas hii ndio maana inapanda kutoka mil500 mpka mil700

Jaman mtafuteni Huyo mwenye uwezo wa kutoa zaidi ya 23 bilion alizotoa azzam tuone kama atapatikana.

Wanaopiga huu mkataba ni Simba na yanga ambao wanataka waendelee kuvikandamiza vilabu vidogo visipate mapato na kuleta ushindani kwenye ligi

Ili waendelee kununua mechi

Zama hizi zinaisha kila MTU ajipange ligi yenye ushindani inakuja.
 
Watu wapuuzi eti pesa ndogo Sana hii[emoji44][emoji44][emoji44],
Binafsi niwashukuru Sana AZAM MEDIA kwa kazi nzuri wanayoifanya,ligi yetu inazidi kupaa!
Vilabu now vitasajili wachechaji wazuri na kuwalipa mishahara mizuri!
Kazi iendelee
Hujui kitu wew. Just imagine nafas ya tano atapokea 65ml. Yan iyo hela hata kwa sas iv kwa nauli ya nusu msimu haitoshi alaf TFF wamekubal ilo dili kwa mda wa 10yrs.
Azam amefany mambo makubwa kwasbb lig yetu ilkuwa haijulikan. Lakn ki uhalisia tuko nyuma ya mda.
 
Baadhi ya mikoa anatumia huduma za mashirika mengine kurusha matangazo mfano uwanja wa Gwambina azam anatumia TCCL Kurusha matangazo ya mpirs ambapo wanalipa si chini ya 40m kwa game moja.
40M kwa game moja etieeh? [emoji23],Mnapoamua kuja na hoja basi jitahidini iwe na mantiki, humu jF tumejaa wajuvi wa kila sekta kwahiyo ni ngumu kupitisha uongo wako.
 
Mkuu umetumia busara sana kuhitaji arguments za sisi tunaoona pesa ni ndogo...Iko hivi

1. Umewahi kujiuliza ni vibanda umiza vingapi, watanzania wangapi na lounge au lodge ngapi zinazolipia kile kifurushi ili tu kuangalia mpira (hapa naongelea active customers)..achana na channel zingine.

Mfano, tuweke makadirio ya chini..wenye ving'amuzi nchi nzima ni Milioni moja...na tuweke makadirio ya chini tu kuwa kifurushi kwa mwezi ni elfu kumi.

so, mapato kwa mwezi 1 tu ni 1,000,000 * 10,000 = 10,000,000,000 (bilion 10) ambayo ni sawa na Bilion 80 kwa mwaka (nimepiga mahesabu tu ya ile miezi 8 ambayo ligi inakuwa active)..Hapo sijaongelea wateja wapya wanaonunua ving'amuzi vyao kwasababu tu ili waone mechi za vpl.

Kumbuka hapo bei halisi sio 10k (kwa sasa ni 20k) na wateja wanaohitaji kuangalia mechi ni zaidi ya 1m...Hapa lets assume ile gharama nyingine ya king'amuzi na idadi ya nyongeza ya wateja (10,000 * 500,000 = 5b kwa mwezi), mapato yao yatatumika kwenye kucover costs of operations..

2. Channel zao zinazoonesha mechi zitapata matangazo ya wadhamini wengi sana...kama ambavyo hawa wauza solar wanatangaza kwenye hizi channel...

3. Miaka 10 ni muda mrefu sana, ndani ya huo muda usitegemee gharama ya kulipia vifurushi itabaki constant (20k per month).. Kuna expectation kubwa kuwa itapanda maana demand ya service inaongezeka...hapo faida itakuwa maradufu.

Risk pekee kwa azam ni endapo majanga kama haya ya covid yatatokea (siombei yatokee).

Wengine wataongezea.
Sio kila mtu mwenye decoder ya azam anaangalia vpl.

Wengine wanaangalia jumong.

Labda mechi kubwa ya simba na yanga.
 
Back
Top Bottom