Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Sawa Yote tisa, Habari nzuri ya kutazama na ya uhkika inapatikana Aiiiiiiiiiiiiii Tiiiiiiiiiiii Viiiiiiiiiiiiiiiiiiii (ITV)
 
Hata wanunue mitambo ya namna gani. Siwezi kuangalia media zao. Infact siwezi kuangalia media yoyote ya Tanzania iwe Radio au TV wote ni uchafu tu.. Acha niendelee na ABC news, CNN,BBC, FOX , NSBC, DW tv, RT, France 24.
Ulimbukeni unakusumbua
 
Tatizo la AZAM ni Udini
t
 
Samahani bro, Quadrillion naomba uiandike kwa tarakimu. 🤝
Hii hapa

1,000,000,000,000,000

Hio ndio Quadrillion inafuata baada ya Trillion

1,000,000,000,000

Hio ndio Trillion 1 wengi wanacheza hapo

Quadrillion 1 ni sawa na Trillion 1,000

Trillion 1 ni sawa na Billion 1,000

Billion 1 ni sawa na Million 1,000

Wengi wapo hapo kwenye Million, Billion & Trillion huko kwenye Quadrillion hawafiki

Cc: Kapeace 💙🪘
 
Hongera sana Jeikei kwa kuchukua pesa za serikali na kumpa bakhresa.
Alichukua mwaka Gani mkuu maana miaka 2000 kule kijijini tulikuwa tunaona magari ya METL na Bhakresa yakishindana kusambaza Unga.Labda kile kinu cha Tazara alichonunua baada ya kubinafsiwa ambazo kimeleta tija ya ubinfsishaji twende mbele turudi nyuma Bhakresa anasaidia hili taifa kuongeza ukwasi.
 
Tbccm wao Kila siku kishindo Cha awamu ya sita na kishindo chenyewe ni sifuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…