Azam wakitua Bongo wapewe adhabu ya kulima shamba la matikiti wiki nzima

Kwa nini wasipewe adhabu ya kusukuma chapati waone uzito wa upatikanaji wa fedha wanazochezea?
 
🤣🤣🤣🤣
 
Bado hamjasemaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yangaa ipi iwe level ya Simba? Wee utoo umevurugwaaa?
Simba yuko no 7 CAF rankings club, vipii uto yuko no ngapiii?

Poleeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…