Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini wasipewe adhabu ya kusukuma chapati waone uzito wa upatikanaji wa fedha wanazochezea?Haiwezekani timu ikawa na kila kitu lakini wachezaji wanacheza utadhani wamefungiwa matofali miguuni,
Timu ina miundombinu ya kisasa kabisa kama vile uwanja mzuri, Gym nk
Wachezaji wanalipwa mishahara na bonus kwa wakati,
Ikiwezekana wachezaji wapewe adhabu ya kulima matikiti ,viboko mujarabu na barua ya kujieleza kwanini wafungwe kizembe,
Bila kusahau wakatwe na mishahara.
Wachezaji hawana ari kabisa, sijui wanabweteka na kitu gani.
🤣🤣🤣🤣Haiwezekani timu ikawa na kila kitu lakini wachezaji wanacheza utadhani wamefungiwa matofali miguuni,
Timu ina miundombinu ya kisasa kabisa kama vile uwanja mzuri, Gym nk
Wachezaji wanalipwa mishahara na bonus kwa wakati,
Ikiwezekana wachezaji wapewe adhabu ya kulima matikiti ,viboko mujarabu na barua ya kujieleza kwanini wafungwe kizembe,
Bila kusahau wakatwe na mishahara.
Wachezaji hawana ari kabisa, sijui wanabweteka na kitu gani.
Bado hamjasemaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine wanahangaika kupandisha points, Wengine wako bize kuziporomosha.
Nilikuwa nawaambia mashabiki wenzangu wa Yanga bora nafasi ya pili ashike Simba(Ushabiki wa kulikandamiza taifa langu ulinishinda asee) kuliko huyu Azam, ajikomaze kwanza kwenye Shirikisho.
Yangaa ipi iwe level ya Simba? Wee utoo umevurugwaaa?Mtani dishi limeyumba si bure!
Hivi goli la Dube assist ya Chama uliona Leo? Ile ni professional football hata Madrid wangefungwa.
Yanga iko level ingine tofauti na akili zako zinavyokudanganya. Yanga si level ya APR au Simba huko tushatoka mwaka juzi!
Hata uto tukibeba world cup wewe bado utasema ni bahasha au ndumba!!
Sasa tutachukua points 6 kwenu kolokoloni sijui utasemaje!!Kipigo ni haki yenu makolo hadi mseme shikamoo Yanga Africa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisema sana hili wengi wakapinga ila kwa mpenda mpira na nchi huwezi kwenda na Azam badala ya Simba kimataifa
Kupata point ni kazi sana Sasa Azam na ndugu zake coastal wao wanatupa tu