Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
- Thread starter
-
- #21
Upumbavu ni mzigo wa aliyenao. We sema huna hela ya kununua Azam Cola au umezoea madafu.
Tena usihusishe Ukristo na Upuuzi wako. Kama umetumwa kuharibu biashara za watu fanya hivyo kwa jina la babaako na sio kwa jina la Ukristo. Na ningekuwa jirani yako siku ukifa ningehakikisha mwili wako huo usio na akili unapitishwa msikitini kabla ya kuzikwa
Kama huna hela ya kununua kaa kimya usitafute sababu so hutak kisa kimeandikwa kiarabu mbona zingine zimeandikwa kichina na hapa hatuko china,zingine kiingereza na hapa sio UK na huzilalamikii!!
Hapo ni North London mkuu, na hilo ni lango kuu linalopitisha Wakristo weeeeengi kuzama ndani ya Emirates Stadium kwenda kucheki Diaby, Bacary Sagna na Chamakh, wakichezea mpira kwa mbwembwe.
Inawezekana huyaoni vizuri
Ukipanda Qatar Airways, Gulf Air, Emirates, Turkish Airlines lazima ukutane na maandishi ya Kiarabu kwenye bidhaa na hata Visual Safety Presentation.
Acha akili za kijinga, Wakristo hatujafundishwa ujinga mkuu. Waombe mods wakusaidie kufuta hii mada yako inayotaka kuharibu biashara za watu. Ukimharibia Bakhresa, unaharibu uchumi wa nchi na uchumi wa maelfu walioajiriwa naye.
mimi ni mkristo na sitaacha kunywa vinywaji vya bakhresa.
Bakhresa ni role model wangu.
Nampenda,nimejifunza mengi mazuri kutoka kwake.
sioni tatizo yeye kutumia bidhaa zake kuonesha jinsi anavyojivunia uislam wake.
wewe mkristo unayekereka na label za bakhresa na wewe fanya kazi kwa bidii ili na wewe uwe na bidhaa zako halafu kwenye label zako na wewe uweke label zenye msalaba.
Nyie waandika kushoto mnaweza kunywa mnavyotaka, natahadharisha tu wale wenye akili timamu.
Anayetaka kunywa aendelee lakini wenye kunielewa acheni mara moja.
Bado sijaona hoja ya kunishawishi. Kwani Bakresa ni wa Arabuni? Picha za misikiti za nini? Toa hoja mfu hapa. Kama unata wee kunywa, lakini wanaojali nawatahadharisha wasinywe.
Ujumbe umefika
Sijaona hoja ya kunishawishi. Bado nitaendelea kuwataahalisha wenzangu mimi wasitumie vinywaji hivyo. Fumbo mfumbie mjinga... Kumbuka hatuko nchi ya kiarabu hapa. Tuko Tanzania. Mie sio mdini mdini ni aliyeweka udini kwa kitu ananiuzia!
Kaa mbali na vinywaji vya Bakresa.
mdini huyu kama lipumbaaa
Mimi natafuna kwenda mbele. Mwambie Bakhresa auze kitimoto roast take away halafu kwenye packing achore Ali Kahaba uone kama nitaacha kula.
Watu kama wewe ni HATARI na tunapaswa KUKUEPUKA.
Watu walivyokuwa wa ajabu kuniita mdini wakati aliyeweka label ya kidini kwenye prodoct zake yeye anaonekana yupo sawa hapo ndio nazidi kuwashangaa.
Ok kama mimi ni mdini niambie basis ya Bakresa kuweka label ya kidini kama sio kuwasaidia watu wa dini yake watumie bidhaa yake? Maana yake ni kwamba alihisi watu wa dini yake hawatatumia product zake kwa kuhisi sio safi kutokana na hofu ya uhalali kidini, kwa hiyo anawaondoa hofu sio? Sasa kwa nini nyie wadini mwaniita mie mdini ninaposema ukweli?
Ni ignorance yako tu inakufanya uniite mdini. Akili yako ingelikuwa sawa sawa usingeandika ujinga wote huo.