Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
- Thread starter
- #21
Upumbavu ni mzigo wa aliyenao. We sema huna hela ya kununua Azam Cola au umezoea madafu.
Tena usihusishe Ukristo na Upuuzi wako. Kama umetumwa kuharibu biashara za watu fanya hivyo kwa jina la babaako na sio kwa jina la Ukristo. Na ningekuwa jirani yako siku ukifa ningehakikisha mwili wako huo usio na akili unapitishwa msikitini kabla ya kuzikwa
Akili yako ndivo inakutuma?
Unadhani ninaweza kupata pesa ya kununua bundle nikose ya kununua malt? Sema wewe ni walewale mnaotaka tule hata najisi
