CREED25
Senior Member
- May 17, 2020
- 111
- 131
[emoji23][emoji23] Huenda Ana hisa na timubado coastal union yule mgunda hata afungwe 20 haondolewi au cjui halipwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Huenda Ana hisa na timubado coastal union yule mgunda hata afungwe 20 haondolewi au cjui halipwi
Umekubali eehIla utopolo wana beki matata sana
[emoji38]
Ame hatoshi tena,maana mlisema Mwamnyeto alipokuwa Coastal alikuwa anatembelea nyota ya Ame.Mo inabidi afanye jambo pale yanga kuibomoa beki line yao , jamaa wako vizuri sana hdi nishaanza kuogopa sasa.
Vile vidume viwili lamine na mwamnyeto ni hatari.
Haswaa, mwingine tutakaye mfungashia virago ni Kishingo, Nina Imani hawezi kumaliza msimi huu.Acha aende bado kishingo
Kweli mkuu kuna uwezekano hata huko Nigeria hatorudi ataondokea huko hukoHaswaa, mwingine tutakaye mfungashia virago ni Kishingo, Nina Imani hawezi kumaliza msimi huu.
Azam hawajui wanataka nini kwa sababu hawana mashabiki wengi wa kuwapa pressure, siku wakiwa nao watajua kitu wanachotakiwa kufanya.Uzoefu unaonyesha Azam hawajui wanataka nini.
Anaweza kuja kocha wakarudi nyuma kabisa na kuanza moja tena.
Wewe ni shabiki na mtani wa jadi wa ukweli, siyo wale wenzangu na mie kazi kuponda tu kila kituHiyo ndo silaha yao tu.
Wanapiga pasi mbili wapo golini
Ila huyo kocha waliyempata anajua sana
Sikutegemea Wangebadilika ivi
Azam wacha watimue kocha hamna namna
Badala ujenge beki yako, we unawaza kubomoa ya mwenzio. Ili muwe sawa ama?Mo inabidi afanye jambo pale yanga kuibomoa beki line yao , jamaa wako vizuri sana hdi nishaanza kuogopa sasa.
Vile vidume viwili lamine na mwamnyeto ni hatari.
Akili za Mikia ndiyo hizo. Wanawaza umbumumbu. Ya Morrison imepita hakuna tena.Badala ujenge beki yako, we unawaza kubomoa ya mwenzio. Ili muwe sawa ama?
Mi simba damu.Wewe ni shabiki na mtani wa jadi wa ukweli, siyo wale wenzangu na mie kazi kuponda tu kila kitu
Pale mbele mkikaa vzuriUmekubali eeh
Hao jamaa watatusumbua sanaMo inabidi afanye jambo pale yanga kuibomoa beki line yao , jamaa wako vizuri sana hdi nishaanza kuogopa sasa.
Vile vidume viwili lamine na mwamnyeto ni hatari.
Huyo jamaa atawasaidia mnoMazuri yanakuja, Said Ntibazontoka atasaidia sana katika ufungaji.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Uko ka mimi mkuuMi simba damu.
Ila ktk ukweli nasema
Mchawi wa Azam ni Iddy Cheche,wamtafute wamalizane nae kwa amani.Azam kuna mdudu gani kapiga kambi kwenu? kila mkijitutumua ndio kwanza boti inaelemea upande kama MV Bukoba? anzeni kujitayarisha kumfukuza Lwandamina kwani naye hatachomoka
Ilikuwaje Mkuu?Mchawi wa Azam ni Iddy Cheche,wamtafute wamalizane nae kwa amani.