Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Ilikuwaje Mkuu?
Anawadai chake?
Nami nataka nijue ....kwani waswahili mara nyingi ukijifanya mwamba wao hujifanya wadogo, haiwezekani Azam kila akifunga bao baada ya dakika chache linarudishwa mpaka kipa alitaka kuwatoa macho mabeki wake
Nadhani ile kumfukuza kocha Mromania Aristica Cioaba haitoshi bado inatakiwa Mbuzi nyeupe peee ili kutoa gundu hili