Azim Dewji: Lissu amuombe radhi Biteko; Matamshi wanayotoa wapinzani hayapaswi kuumiza watu wengine

Hawa watu mkiwaacha nao wakajiona ni watanzania mtataabika sana. hawa ni wahamiaji bila kujali uwezo wao kifedha.
Wasishiriki siasa za nchi yetu. Kwao rangi ni muhimu sana, Hatuoni weusi INDIA wakibwabwaja kama hivi.
 
Asa mbona ni waarabu/sijui wahindi?? Umewahi kuona mzungu wa kijamii😂😂 tuanzie hapo tu
Wakina dewji lini wamekua waarabu! Juwa kutofautisha kati ya Mwarabu na mhindi, ushawahi kusikia mwarabu anaitwa Dewji?
 
Hawa watu mkiwaacha nao wakajiona ni watanzania mtataabika sana. hawa ni wahamiaji bila kujali uwezo wao kifedha.
Wasishiriki siasa za nchi yetu. Kwao rangi ni muhimu sana, Hatuoni weusi INDIA wakibwabwaja kama hivi.
Acha ubaguzi
 
Dewji yupo sahihi, eti chadema ndio wanataka watuongoze 😃 waishie huko huko ukanda wao hatuwataki
 
Huyu mzee anazeeka vibaya sasa au katumwa!
 
Huyu fala anaongea nini? Anajielewa kweli? Hii ndiyo shida ya kuongea mambo ya kuambia ukaongee. Anamzungumzia Lissu yupi ambaye asingemwita Magufuli mwizi? Au anajsahalisha? Mbona Magufuli alikuwepo na Lissu alimwita mwizi?
Waliomtuma kuongea hayo wala hawakumlenga Lissu, walichotaka ni kumlenga Mwendazake, hivyo asubiri majibu kutoka kwa Maswahaba wa Mwendazake.
 
Huyu mzee anazeeka vibaya sasa au katumwa!
Ametumwa huyo au ametishwa kuwa asipoongea basi akifa serikali haitaruhusu maiti yake kuchimwa moto bali watamzika udongoni. Au kaambiwa watakuja kumchukua na siku ya kupatikana hatavalishwa khanga bali dera.
 
Aende kuwashauri India waache ubaguzi na muvi zauongo wakijinga!!
Izo pesa zao za kishirikina hazitufanyi tumweshimu wahindi wengi wanatajirika kichawi na wananyanyasa sana wabongo kazini.
Kwanza hata hatuoleani na ikifikia uchaguzi yanakimbiaga nchi kwahiyo atulize manyoya huko alezake tambi hko
 
Cheo chenyewe cha mchongo. Eti "Naibu waziri mkuu" 🤔
 
Elimu, elimu, elimu - Edward Ngoyai Lowassa
 
Mbona anaongea sana siku hizi? Anautaka urais au?
 
Ametumwa huyo au ametishwa kuwa asipoongea basi akifa serikali haitaruhusu maiti yake kuchimwa moto bali watamzika udongoni. Au kaambiwa watakuja kumchukua na siku ya kupatikana hatavalishwa khanga bali dera.
Haya ndio mafisadi yaliyotajirika kwa kutumia mifumo yetu mibovu na rushwa hongo na ukwepaji kodi mkubwa
 
Ametumwa huyo au ametishwa kuwa asipoongea basi akifa serikali haitaruhusu maiti yake kuchimwa moto bali watamzika udongoni. Au kaambiwa watakuja kumchukua na siku ya kupatikana hatavalishwa khanga bali dera.
Haya ndio mafisadi yaliyotajirika kwa kutumia mifumo yetu mibovu na rushwa hongo na ukwepaji kodi mkubwa
 
Mnyaturuuuuu!!!
 
Dewji ni mnyaturu kumbe!! Na Rostam ni mnyamwezi, tunasubiri umeme,wengine wanasubiri sukari,wengine maji,hiyo meli sijui itafika lini,au usikute ilishazamishwa na hizbolah
Hao ni raia feki....nyoyo zao siyo juu ya tanzania bali mali za tanzania
 
..napenda kuamini kwamba Polisi waliamini maandamano ni SALAMA ndio maana wakampitisha NWM na msafara wake katikati ya waandamanaji.
Utawala wa Serikali hauendeshwi kwa mujibu wa imani. Kama maafa yangetokea na wahusika wakapelekwa mahakamani hapo ndipo tungesikia kama imani ya mpanga njia ya kiongozi wa kitaifa ni utetezi unaokubalika kisheria. Tukemee kufanya maamuzi yenye uwezekano wa madhara ambayo tunaweza kuyaepusha. Haya hayakuwa mafuriko ya maji ya mvua!
 
Hakika huu ndiyo ukweli..

Dhamira ya polisi kumpitisha huyo waziri kwenye barabara iliyokuwa inatumiwa na maelfu ya waandamanaji kwa wakati ule ilikuwa ni uchokozi na lengo lao ilikuwa ni kutaka ku - instigate fujo..

Kwanza ilikuwa ni hatari sana kumpitisha kiongozi huyo kwenye umati wa kundi la watu hao waliokuwa wakiandamana kwa ajili ya madai dhidi ya serikali ambaye huyu ni kiongozi wa hiyo serikali..

Je, wangeamua na kusema kuwa huyu kajileta mwenyewe tuanze naye hapa ingekuwaje?

Zaidi sana ni kuwa huyo Doto Biteko ndiye waziri anayehusika na sekta ya umeme ambalo ni tatizo mojawapo linalolalamikiwa na kuwafanya wananchi waandamane halafu kwa ujinga wake anajipeleka mwenyewe kwa waandamanaji ili kuwadhihaki..

Hakika ninaamini sasa kuwa kumbe hawa viongozi wa serikali hii ya CCM wamekula hadi kuvimbiwa na shibe hiyo imewafanya kuwa wajinga na wapumbavu kwelikweli ktk maamuzi yao..!!!

Tendo la waziri huyo lilikuwa ni dhihaka dhidi ya wananchi wanaotaabika kwa sera na maamuzi ya hovyo ya serikali ya CCM!
 
Nilichokielewa kikubwa kabisa ni...

Kama mh Tundu lisu siku awe kiongozi, angependa kuitwa majina ya hovyo kama anavyowaita viongozi wengine, Je angependa tumdharau kama anavyoonyesha kuwadharau viongozi wengine?

Dewj kaongea point
Ni kawaida mtu kudharauliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…