Azim Dewji: Lissu amuombe radhi Biteko; Matamshi wanayotoa wapinzani hayapaswi kuumiza watu wengine

Natumaini barabara hiyo ilikwishafahamika kwa uongozi wa Mkoa kuwa unatumika kwa maandamano ya CHADEMA basi kama ndo hivyo Mhe. Naibu Waziri Mkuu angejulishwa na uongozi wa Mkoa na aidha angesubiri kupita barabarahiyo au vinginevyo. Hapo naona ni kasoro ya uongozi wa Mkoa. Kila mtu/Taasisi lazima iheshimiwe.
 
Mfanyabiashara maarufu wa Magari mapya nchini Bilionea Azim Dewji amewataka Chadema wawe Wastaarabu vinginevyo Rais atayafungia Maandamano

Source: Jambo TV
 
Huyu mhindi ni ukoo wa nani kule Singida? Lissu siyo muuza sembe na mkwepa kodi
 
Wananchi tumekata tamaa ,serikali ilitambue hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…