Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Pele ujinga wako huko, sijui kwanini huku tekwa wewe....
Hahaha oiii huyu sio Mohamed Dewji...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pele ujinga wako huko, sijui kwanini huku tekwa wewe....
Huyu mhindi ni ukoo wa nani kule Singida? Lissu siyo muuza sembe na mkwepa kodiMfanyabiashara maarufu nchini Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio la maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukataa kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Dotto Biteko aliyekuwa jijini Mbeya kikazi, Februari 20, 2023
"Mimi ni mshabiki wa vyama vya upinzani na kila mara huwa nasema Simba haiwezi kuwa imara bila kuwa na Yanga imara, hivyohivyo CCM inahitaji wapinzani imara ili kuwa imara zaidi, lakini saa nyingine wapinzani wanajisahau wanazungumza maneno ya kuleta fujo" - Alisema Mzee Azim Dewji
Mzee Azim Dewji amesisitiza ni muhimu wapinzani kuwa wastaarabu, wakikosa ustaarabu Serikali ikazuia maandamano wasipige kelele
Hata hivyo, Mzee Azim Dewji amesema kuwa Lissu ni Mnyaturu mwenzake na wote wametokea Singida, lakini kwenye hili ni vizuri akaomba radhi.
Ni tapeli fulaniYeye anazungumza kama nani.
Ni MnyaturuHuyo mhindi apumzike aache maneno mengi. Kwani Naibu Waziri Mkuu hakujua Kuna maandamano hiyo njia?.