Azim Dewji: Nilimkataa Robertinho kuwa Kocha wa Simba

Watasema maneno yote msimu huu.
 
Waacheni Matusi nyie Simba
Mlipoifunga Yanga zile Goli Nne moja mbona wenzenu walitulia.

Mi naona Kocha Mgunda asingeondolewa Simba, tunathamini Sana Makocha wa Kigeni.

Kwa sasa wamrudishe Mgunda tu.
Haina haja ya kuhangaika na Makocha wa haraka haraka.

Maneno yenu yaheshimu wawekezaji .
Hiyo Man United inafungwa goli Sita sembuse Simba.
 
Umeandika sana ila umeandika mambo yasiyoeleweka.
Ni lini Gomez alifundisha Madrid? Kama unakosea vitu vidogo kama hivi, hayo mengine uliyoandika kuna haja ya Kujadili?
 
Umeandika sana ila umeandika mambo yasiyoeleweka.
Ni lini Gomez alifundisha Madrid? Kama unakosea vitu vidogo kama hivi, hayo mengine uliyoandika kuna haja ya Kujadili?
We mpuuzi, wakati Gomez anakuja CV yake ilionyesha amepita wapi na wapi?

Au ukisikia Real Madrid ni mpaka iwe ile Madrid ya wakubwa(akina Vinicius Jr)?

Alipoanza kufanya vibaya siyo Uto walioanza kuitania Simba kuwa wameleta kocha kutoka Real Madrid na bado wanachemka. Hiyo kauli 'kutoka Real Madrid' unadhani ilitokana na nini?
 
We mpuuzi, wakati Gomez anakuja CV yake ilionyesha amepita wapi na wapi?

Au ukisikia Real Madrid ni mpaka iwe ile Madrid ya wakubwa(akina Vinicius Jr)?
Unarudia tena makosa, sababu ya Ujuaji.
Ulishindwa hata kugoogle? Hata kama hujui vitu.
Ni lini Gomez CV yake iliandikwa amepita Madrid?
Acha kujitia aibu, ujanja mwingi mbele kiza.
 
Unarudia tena makosa, sababu ya Ujuaji.
Ulishindwa hata kugoogle? Hata kama hujui vitu.
Ni lini Gomez CV yake iliandikwa amepita Madrid?
Acha kujitia aibu, ujanja mwingi mbele kiza.
Nilimaanisha kocha Pablo Franco. Na kusahau kupo hata wewe huwa unasahau, ila hiyo haifanyi hoja niliyoitoa hapo juu ionekane haifai.

Sema kama wewe hujawahi kusahau.
 
Kama Dewji anamaanisha na yeye yupo kwenye Kamati ya ushauri basi wamchukuwe Pitso Masomane ndio kocha wanayemtaka Simba.
 
Nitajie kocha mmoja tu mzawa anayefundisha klabu kubwa nje ya Tanzania.
 
Kutoka timu ndogo sio sababu, huyu mzee siku hizi anaropoka sana ndio tatizo lake.

Yule kishingo hata hajulikani alitoka timu gani, lakini mpira ilioucheza Simba ikiwa chini yake ilimfanya mpaka vilabu vikubwa Afrika vikamuona na kumchukua.
 
Gamond anakuja mrefu mbona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…