Azimio Bunge la kuridhia makubaliano kati ya Tanzania na Dubai kuboresha bandari ya Dar es Salaam

Azimio Bunge la kuridhia makubaliano kati ya Tanzania na Dubai kuboresha bandari ya Dar es Salaam

Kumekuwa na Mijadala nchi nzima kuhusu Wageni walioletwa ili kuendesha Bandari yetu ya Dar es Salaam , kila mtu anasema lake .

Sasa baada ya Mkanganyiko huo tukaona ni vema tukienda kwenye Hansard na "kudukua" Azimio lililotolewa Bungeni likishawishi Wabunge wakubali uuzwaji huo .

Hebu Jisomee mwenyewe ili upate undani wake na kuokota baadhi ya hoja za Kuchangia .

View attachment 2647900View attachment 2647901
Msukuma amesema aliongea na Mfalme wa Dubai labda moja ya mambo alichombeza ni hilo la bandari
 
Kumekuwa na Mijadala nchi nzima kuhusu Wageni walioletwa ili kuendesha Bandari yetu ya Dar es Salaam , kila mtu anasema lake .

Sasa baada ya Mkanganyiko huo tukaona ni vema tukienda kwenye Hansard na "kudukua" Azimio lililotolewa Bungeni likishawishi Wabunge wakubali uuzwaji huo .

Hebu Jisomee mwenyewe ili upate undani wake na kuokota baadhi ya hoja za Kuchangia .

View attachment 2647900View attachment 2647901
bado hujapata wa kukukuna bado? We huwa unawashwa sana ukisikia serikali hii inafanya jambo lolote la kheri
 
Ni ukosefu wa akili kuipa serikali ya nchi nyingine imiliki lango kuu la nchi Yako.

Hilo jambo sio Bure . Rushwa itakua imehusika.
Mkuu wewe si ulisema Chama kwanza halafu mengine baadaye !
 
Mwambe , Sumaye wote waligombea na walipewa fomu , Sumaye akala kona , Mwambe akaambulia namba za viatu
Si waliambiwa sumu haionjwi Kwa kulamba au ?? Wew unadhana kulikuwa na fair competition hapo
 
Back
Top Bottom